mgodi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,780
- 1,845
Hii ndiyo shida ya kamati kuu ya CCM kuchakachuwa matokeo na kujidai ndiyo maoni ya Wananchi.Nilipomsikia huyu jamaa kamuondoa malecela, nilidhan ni mtu mwenye akili. Ila nilipomuona akichangia leo nilishtushwa na upeo mdogo na ufinyu wa mawazo ya bw lusinde. Sikuamini kama bado bungeni kunaweza kuwa na mtu bogus kiasi hicho!