Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,633
- 1,657
Mbunge Lusinde wa Mtera anasema anaomba wabunge watangwane bungeni ili madhara ya vurugu yaonekane na isiwe watu kuwatumia wananchi kuwatuma wapigane ili kupata umaarufu wakisiasa!!!
Anasema wafunge milango watwangane halaf ndio watoke nje...kazi kwelikweli!!!
Anasema wafunge milango watwangane halaf ndio watoke nje...kazi kwelikweli!!!