Lupita Nyongo

Lupita Nyongo

Huyo Dada nilikoma kumuheshimu alipocheza movie inaitwa "twelve years of slave" ambapo alikubali kucheza uhusika ambao msambwanda na matiti na kiasi Fulani papuchi Yake vikadhihirika...

Akapoteza utamaduni wetu wa Africa usasa kusitiri Mali za siri
sanaa yako inapokuwa imekubalika na watu wa ulimwengu wa kishetani wa hollywood,wakikupa deal za kucheza movie,tegemea kupewa scene za namna hiyo.ila mkwanja wake huwa sio wa kitoto,ni mrefu sana.
 
Tia's proud na vyetu hivi kuna mnigeria mwenye position ya Lupita Hollywood?
Wabogo sisi ni wa kuponda tu, ktk kila mafanikio ya mtu lazima tutafute cha kuongea. Sijui ni umasikini au ni kitu gani. Huwa naona ni mawazo ya kimasikini unapoona kijana mdogo ulompita umri kafanikiwa zaidi yako basi unatafuta cha kujifariji nacho, ie Diamond, hakuna asie ona juhudi zake tangu anaanza, ila alipofanikiwa watu wakaanza ooh freemason!!!
 
Wabogo sisi ni wa kuponda tu, ktk kila mafanikio ya mtu lazima tutafute cha kuongea. Sijui ni umasikini au ni kitu gani. Huwa naona ni mawazo ya kimasikini unapoona kijana mdogo ulompita umri kafanikiwa zaidi yako basi unatafuta cha kujifariji nacho, ie Diamond, hakuna asie ona juhudi zake tangu anaanza, ila alipofanikiwa watu wakaanza ooh freemason!!!
Word mkuu tukubali Lupita is on another level
 
Huyo Dada nilikoma kumuheshimu alipocheza movie inaitwa "twelve years of slave" ambapo alikubali kucheza uhusika ambao msambwanda na matiti na kiasi Fulani papuchi Yake vikadhihirika...

Akapoteza utamaduni wetu wa Africa usasa kusitiri Mali za siri
Hivi kati ya Mwafrika na Mzungu nani mwenyeutamaduni wa kuvaa nguo....?
58a625bface2187c1f4a7eccc2e679a8.jpg
 
Back
Top Bottom