Lupita Nyongo

Lupita Nyongo

Jaluoooo jaluoooo

Kwa pamojaaa
Raila tibiiiiiiiiiii
 
Hivi kati ya Mwafrika na Mzungu nani mwenyeutamaduni wa kuvaa nguo....?
58a625bface2187c1f4a7eccc2e679a8.jpg
Tumshukuru huyo huyo mzungu kwa kutuletea hizi nguo tunazovaa leo, tumejisahau tunaona hizi ndio utamaduni wetu eti!!
 
Hivi kati ya Mwafrika na Mzungu nani mwenyeutamaduni wa kuvaa nguo....?
58a625bface2187c1f4a7eccc2e679a8.jpg
Dhaaaa!! Yesu na maria
Mkuu embu nipatie namba
Ya huyo alievaa green
Kuanzia mbele kwenda nyuma

Chuchu mubashara hzo
 
Tuwe proud na vyetu hivi kuna mnigeria mwenye position ya Lupita Hollywood?
Hakuna Mnigeria yupo Hollywood lakini unajua kwa nini? Wazungu wanapenda watu watakaowatumia eg Lupita etc Nigeria wanajitambua movie zao ni nzuri zina ujumbe na pengine zina ubora zaidi kuliko hizo za Hollywood. Hebu tuchukue actress wa kutoka Nigeria yeyote tu awe Mercy Rita Genevieve etc kuna wa kufanana na Lupita? Si kwa uzuri tu hata umahiri wao wa uigizaji. Lupita ni coincidence tu yupo huko. Anyways huwa siangalii movie za Hollywood sababu ni too much fiction na yasiyowezekana.
 
Nyuka ni uji, wajaluo tunapenda sana uji thats why unalisikia often.
kamongo asinda nyama, lakini maharage natoka droo, ndungululisucho!!!!

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
Huyo Dada nilikoma kumuheshimu alipocheza movie inaitwa "twelve years of slave" ambapo alikubali kucheza uhusika ambao msambwanda na matiti na kiasi Fulani papuchi Yake vikadhihirika...

Akapoteza utamaduni wetu wa Africa usasa kusitiri Mali za siri
check kwenye non stop ni cabin crew

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
Hakuna Mnigeria yupo Hollywood lakini unajua kwa nini? Wazungu wanapenda watu watakaowatumia eg Lupita etc Nigeria wanajitambua movie zao ni nzuri zina ujumbe na pengine zina ubora zaidi kuliko hizo za Hollywood. Hebu tuchukue actress wa kutoka Nigeria yeyote tu awe Mercy Rita Genevieve etc kuna wa kufanana na Lupita? Si kwa uzuri tu hata umahiri wao wa uigizaji. Lupita ni coincidence tu yupo huko. Anyways huwa siangalii movie za Hollywood sababu ni too much fiction na yasiyowezekana.
Kwani hata hao wakenya wako wangapi huko nje na bado hawakuweza kufanya kama Lupita? Sio suala la kujitambua au laa, alithubutu akaweza.
Kuna movie aliicheza mnaijeria siikumbuki jina ila ni wa kiume.
Hiyo ni fursa ambayo sidhani hata kama hao kina genevievr wakiipata wanaweza kuiacha, sema hawajaipata.

Tunatofautiana ktk tasteza vitu hata sanaa, mfano mimi movie za kibongo na nijeria zimenishinda kabisaa napenda hizo za hollywood.
 
Kwani hata hao wakenya wako wangapi huko nje na bado hawakuweza kufanya kama Lupita? Sio suala la kujitambua au laa, alithubutu akaweza.
Kuna movie aliicheza mnaijeria siikumbuki jina ila ni wa kiume.
Hiyo ni fursa ambayo sidhani hata kama hao kina genevievr wakiipata wanaweza kuiacha, sema hawajaipata.
Hawajaipata sababu wazungu wanajua ubora wao. Hao African Americans wanalalamika na wanayotendewa Hollywood itakuwa wampe fursa Nigerian au hata Waghana tu. Kenya ni puppets wa wazungu hawajitambui the rest of Africa tunajitambua.
 
Tuwe proud na vyetu hivi kuna mnigeria mwenye position ya Lupita Hollywood?
zaidi ya lupita kama adelawale akinnuoye agbaje au ecko katoka series ya lost,

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
Hawajaipata sababu wazungu wanajua ubora wao. Hao African Americans wanalalamika na wanayotendewa Hollywood itakuwa wampe fursa Nigerian au hata Waghana tu. Kenya ni puppets wa wazungu hawajitambui the rest of Africa tunajitambua.
Haya.
 
Hakuna Mnigeria yupo Hollywood lakini unajua kwa nini? Wazungu wanapenda watu watakaowatumia eg Lupita etc Nigeria wanajitambua movie zao ni nzuri zina ujumbe na pengine zina ubora zaidi kuliko hizo za Hollywood. Hebu tuchukue actress wa kutoka Nigeria yeyote tu awe Mercy Rita Genevieve etc kuna wa kufanana na Lupita? Si kwa uzuri tu hata umahiri wao wa uigizaji. Lupita ni coincidence tu yupo huko. Anyways huwa siangalii movie za Hollywood sababu ni too much fiction na yasiyowezekana.
Not that I have everything against Nigerian actors.. But are you for real nolywood over hollywood...

Sent from my TECNO DP7CPRO using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Mnigeria yupo Hollywood lakini unajua kwa nini? Wazungu wanapenda watu watakaowatumia eg Lupita etc Nigeria wanajitambua movie zao ni nzuri zina ujumbe na pengine zina ubora zaidi kuliko hizo za Hollywood. Hebu tuchukue actress wa kutoka Nigeria yeyote tu awe Mercy Rita Genevieve etc kuna wa kufanana na Lupita? Si kwa uzuri tu hata umahiri wao wa uigizaji. Lupita ni coincidence tu yupo huko. Anyways huwa siangalii movie za Hollywood sababu ni too much fiction na yasiyowezekana.
wapo mbona, acha naijeria, west africa mbona wapo wengi tu hollywood, ila wengi ni wanaume na sio wanawake

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
Not that I have everything against Nigerian actors.. But are you for real nolywood over hollywood...

Sent from my TECNO DP7CPRO using JamiiForums mobile app
Hollywood ina ubora wake so as Nollywood
I would rather watch African movies kuliko Hollywood movies.
Hollywood kumejaa ubaguzi uliotukuka
Back to my point!
Sio kwamba Lupita ni bora kuliko any other Africans actresses , she is not even close kwa Nigerians actress kwa kila jambo.
 
Back
Top Bottom