Lupita Nyongo

Lupita Nyongo

Hivi kule kwa mswati sio Afrika?
Mbona hamuulalamikii? Kule Kusini mwa Afrika (S.A, Lesotho, Swaziland, Botwana) watu wanatembea karibu mwili wote uko nje kaigiza Lupita imekuwa nongwa.
 
Utamaduni wa mwafrika kabla hatujaletewa nguo na wahindi na wazungu unaufahamu? Tatizo letu tumeupoteza hafu tumeiga wa wazungu
Ndio maana nimesema "Africa Usasa"

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Huyo Dada nilikoma kumuheshimu alipocheza movie inaitwa "twelve years of slave" ambapo alikubali kucheza uhusika ambao msambwanda na matiti na kiasi Fulani papuchi Yake vikadhihirika...

Akapoteza utamaduni wetu wa Africa usasa kusitiri Mali za siri
Lupita hata akiongea unajua huyu mwanamke si tu actress anayejua ku act, lakini pia kichwani yupo vizuri.

Kuna acceptance speech yakemoja alitoaakanifanya nijisikiekwamba hapakuna mtu anajielewa na anaweza kujieleza.

Ukiambiwa "huyu kaenda Yale Drama hata huwezi kubisha.

Sio habari za Mamie Kwani binti Ubaya kila siku scandal za kijinga magazetini.
 
Back
Top Bottom