Luninga kwenye chumba cha kulala

kwa sisi tuliokuwa na wake wenye mishahara mikubwa kuliko sisi ni bora miaka 100 kuwa na Tv chumbani maana ukimgusa mkeo akikukaripia basi unachukua series yoyote ya kikatili na kuiangalia ili ujifanye umesahau kumbe unaumia.
Nalog off


ha ha ha ha!!!!!!!!!!!!!

dah! umeongea ukweli hapo kwenye maumivu na namna ya kupotezea..........

swali la kizushi; mkuu umeoa lini tena?
 
Hebu tupe jibu ambalo utawapa kama wakikuhoji.

Hivi Bro, serious unataka nipange insha hapa za mjadala wangu na Malaika wangu jinsi nitakavyokuwa namfanya aelewe?

Kama Baba nina ushawishi wa kutosha kwa mwanangu na mawasiliano yanafanyika kwa amani tu na ananielewa kuwa kila ninachomuelekeza nafanya kwa nia nzuri tu...
 
Kwa mimi TV should be kila room kwenye nyumba. Sometimes I need peace of mind nachill room nawasha Xbox 360 yangu nacheza Devil May cry au GTA nikichoka nazima nalala.
 
ha ha ha ha!!!!!!!!!!!!!

dah! umeongea ukweli hapo kwenye maumivu na namna ya kupotezea..........

swali la kizushi; mkuu umeoa lini tena?
nimeoa jumatatu iliyopita mkuu ila samahani kwa kutokualika.
Nalog off
 
Ha ha ha ha, kwa nini series ya kikatili?
unajiafanya wewe ni katili utamuona mwenyewe anageuka na kuanza kukukaripia na kukwambia nakupa mara moja na usinisumbue tena sawa?basi unapewa shughuli na wewe unashughulika.
Nalog off
 
unajiafanya wewe ni katili utamuona mwenyewe anageuka na kuanza kukukaripia na kukwambia nakupa mara moja na usinisumbue tena sawa?basi unapewa shughuli na wewe unashughulika.
Nalog off

Mkuu hapo unaweka move ya zombie then unalisupport pale linapofanya ukatili..Akikugusa unajifanya kumpotezea na kumpush na kiwiko..Mwenyewe atachange
 
mimi ni kati ya watoto tulilelewa tukiwa free.....
mama yetu alikuwa anasema sana lakini alikuwa anatuambia kabisa kuwa hawezi kukufwatilia kila sehemu. yeye ana kazi, wewe una shule, hawezi toka kazini kuangalia shule unafanya nini. Ila atakuambia mabaya yoooteee, amua wewe unachotaka kufanya.
Na sijisifii, but sijawahi wapa wazazi wangu shida katika malezi, nilikuwa mtoto mzuri sana pamoja na freedom niliyokuwa nayo.
Wanangu huwa nina tabia ya kwenda chumbani kwao mara kadhaa usiku, kuwatoa wakasusu lakini pia kuangalia wamelalaje, maana wanangu huwa nawalaza chumbani kwao tangu wakiwa wadogo sana, kwa hiyo nalazimika kuwachungulia mara kwa mara.
kuna siku niliwahi kuamka saa 9 usiku nikamkuta binti anaangalia TV, nikaizima, nikachukua kitabu chake cha hesabu, nikampa hesabu 100, nikamwambia nitazisahihisha nitakapoamka saa 12. akazifanya, nilipoamka nikakuta kamaliza, ila ndo ilikuwa siku ya kwanza na ya mwisho kurudia huo mchezo.
wanangu wanacheza sana games lakini kwa masaa niliyowaambia. huo muda ukifika hata umsemeshe wala hakusikii jinsi alivyo busy. na kuna games za masomo (angalia leapfrog), kuna masomo mbalimbali anajifunza huku anacheza, kama hutaki kuwanunulia hizo za akina ben10.
Kwangu bado hatujaona hayo madhara ya games kwa masomo, maana wanafanya vizuri sana shule na wanacheza games. siku nikiona inawasababishia wasisome itakuwa ndo mwisho wao wa kupewa games
 
unajiafanya wewe ni katili utamuona mwenyewe anageuka na kuanza kukukaripia na kukwambia nakupa mara moja na usinisumbue tena sawa?basi unapewa shughuli na wewe unashughulika.
Nalog off

mwambie aache kukupa kwa mgao utadhani yeye tanesco
 
aisee hapo NAMNAANI SINZA nasikia ni chimbo zuri kwa kugegeda wake za watu mi mwenyewe na mke mmoja wa mtu namvizia ikitiki tu na mpeleka hapo NAMNAANI nasikia ni bonge la chimbo limetulia kuna vyumba kama 100 hivi yaani hapo unaweza ukawa hapo hapo na mke wako anachapwa hapo bila kujua.
 
Mkuu hapo unaweka move ya zombie then unalisupport pale linapofanya ukatili..Akikugusa unajifanya kumpotezea na kumpush na kiwiko..Mwenyewe atachange
umeona eh! lazima ujitutumue kidogo.
Nalog off
 

Nimeipenda hii
Like km mia nane hiv
Kiukwel napenda tv chumbani lol
Nimejifunza kitu
Thanx
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda hii
Like km mia nane hiv
Kiukwel napenda tv chumbani lol
Nimejifunza kitu
Thanx
TV chumbani siyo mbaya.... inategemea tu inaku-drive kiasi gani.
kama unakuwa-glued kwenye TV muda wote ukiwa room, hata kama upo peke yako inakuwa siyo nzuri hata kwa afya. lakini kama unaitumia tu kama kiburudisho muda muafaka, tatizo liko wapi?
Mimi kuna kipindi nakaa hata 2 weeks sijaangalia TV, hata ya sitting room
 
ehehehhehehhehe sijui kakufunyuaje kwenye chimbo lako
af weeewe!ahahahahhaha SA NDIO NINI?eti cacico umeona dada kubwa alivo na makusudi!chaaaaaaaaaaaaa!twaaaafa!
 
Last edited by a moderator:

napenda sana namna yako ya kufikiri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…