yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
tangu niwe memba hapa jf,swali lako ni bora kuliko yote nilokutananayo..nafkir hizi ndo sabb zinazosababisha waafrika tuwe slow kimaendeleo!Eti jamani sasa kama ushahidi haujakamilika na hatakiwi kujibu chochote.Kwanini walipanga kesi isikilizwe leo.msaada tafadhari