Lulu Mahakamani: 23rd April 2012

Lulu Mahakamani: 23rd April 2012

Eti jamani sasa kama ushahidi haujakamilika na hatakiwi kujibu chochote.Kwanini walipanga kesi isikilizwe leo.msaada tafadhari
tangu niwe memba hapa jf,swali lako ni bora kuliko yote nilokutananayo..nafkir hizi ndo sabb zinazosababisha waafrika tuwe slow kimaendeleo!
 
haya,sheria ifanye kazi yake,msimlete tena mahakamani hadi pale upelelezi utakapo kamilika
 
attachment.php


Mtoto mzuri, nguo zimempa heshima, amepungua umbo , lakini tumbo................

Tarehe 7 mwezi ujao naona kamera zote za waandishi wa habari zitaelekezwa tumboni.
 
:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
 

Mwigizaji Maarufu wa filamu za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo majira ya saa nne asubuhi amepandishwa kizimbani kwa mara ya pili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa shitaka la kumuua Steven Kanumba. Baada ya kusomewa shitaka hilo na Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama hiyo Elizabeth Kaganda mbele ya Hakimu Rita Tarimo hakutakiwa kujibu lolote. Mwendesha Mashitaka huyo alisema upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamailika hivyo kesi hiyo iliahirishwa mpaka Mei 7 mwaka huu.


attachment.php

Source:
LULU APANDISHWA KIZIMBANI CHINI YA ULINZI MKALI - Global Publishers



Jamaa ana kikwapa kinatema.....duh.
 
Lulu ingebidi arecord movie kabisa akiwa mahakiss kwa record za baadaye!
 
Back
Top Bottom