Lulu Mahakamani: 23rd April 2012

Lulu Mahakamani: 23rd April 2012

Ni funzo kwa wazazi wanaolewa umaarufu wa watoto wao wakasahau maadili ya malezi.
 
katoto kadogo masikini kama mzazi imeniuma jamani
 
kitumbo kimetokezea kibendi ama ?kama ana kibendi cha kanumba kitamsaidia labda....na kule ngome si hakuna mambo ya kupanchi.....
 
tunaishi kwenye ulimwengu wa giza kila mtu hajui yatakayompata kesho. na hakuna mwema na asiyetenda dhambi.
 
Kakikuwa kataacha.

Kalijiingiza mjini kwa pupa na kalikuwa katukutu hakasikii la muazini wala la mteka maji msikitini.

Ngoma ikivuma sana hupasuka.
 
kitumbo kimetokezea kibendi ama ?kama ana kibendi cha kanumba kitamsaidia labda....na kule ngome si hakuna mambo ya kupanchi.....
 
Ni kweli inakuwaje mwanao unamwachia atoke usiku wa manane aende kwa mwanaume ambaye tena si mme wake
 
Lulu hicho kivazi ulichovaa tokea lini na wapinawapi na wewe ,usijisubuwe bure
 

huyu ni mlalamikiwa pia KWA NINI AMWACHI MWANAE AJIACHIE KIASI CHA KUONEKANA KUSHINDIKANA NA SASA HIVI ANAJITOKEZA KUMSAIDIA......AU ALIKUWA AKIMWUZA KWA TAFRIRI NYINGINE.......HAJAWAHI KUWACHUKULIA HATUA WOTE WANAOMTUMIA VIBAY HUYU BINTI ....KAMA NI MIM NISINGEJITOKEZA NI AIBU CHEZA MBALI NA KASHESHE
attachment.php




 
kwa kwel kama akipona hpa atakuwa anaish km mtawa
 
hapo cjui anajskiaje na hayo manguo,kaone kwanza
 
Back
Top Bottom