TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
jamani hilo tumbo hata mimi silielewi?? au kanumba katuachia mpwa!??
Hata mi nahisi hapo marehemu katuachia mpwa
jamani hilo tumbo hata mimi silielewi?? au kanumba katuachia mpwa!??
Huyu POLISI dume naye bana..... Kikwapa hicho bana.
Joto la Dar, pata mavitu hata ya bei nafuu kukausha KIKWAPA, heee...... Nyani Ngambu unakiona lakini
jamani hilo tumbo hata mimi silielewi?? au kanumba katuachia mpwa!??
Mtoto mzuri, nguo zimempa heshima, amepungua umbo , lakini tumbo................
anamuiga mange
mi ako katumbo mhhhh au sk alishafanya mambo
Mtoto mzuri, nguo zimempa heshima, amepungua umbo , lakini tumbo................
Hilo Tumbo la michemso tu
Anaonekana ana msongo wa mawazo, I hope kesi itaenda vizuri na ataachiwa huru.
Haki ikitendeka naamini kabisa ataachiwa huru kwani bado kabisa sijashawishika kuwa alimuua Kanumba kwa kukusudia.
Du! Ili haki itendeke ni lazima wewe ushawishike?
Du you know all the facts?
Hivi mtu akiua bila ya kukusudia hukumu yake ni nini?
Tuache sheria ifuate mkondo wake na kama hana hatia basi aachiwe huru na jamii impokee kwa mikono miwili.
Hilo Tumbo la michemso tu
Anaonekana ana msongo wa mawazo, I hope kesi itaenda vizuri na ataachiwa huru.
Eti jamani sasa kama ushahidi haujakamilika na hatakiwi kujibu chochote.Kwanini walipanga kesi isikilizwe leo.msaada tafadhari
Usione hivyo,hapo nguo zinamwasha.