Superior 01
Member
- Apr 16, 2019
- 98
- 80
Na uchumi huu wa wakati kuna watu wanahongwa milioni 2 na kununuliwa crown ? Aisee kuna wanawake wana bahati
Wapo tena zaidi hata ya hiyo Milion 2
Na uchumi huu wa wakati kuna watu wanahongwa milioni 2 na kununuliwa crown ? Aisee kuna wanawake wana bahati
HahahaTafuteni hela acheni kufuatilia Hadi mimba za wanaume wenzenu
Milioni moja ni nyingi ?haijafikia hata bei ya iPhone 12🥵🥵ukizaa kwa operation hardly ukikaa hospital ni 3 days
Hilo nalo neno kuntuTafuteni hela acheni kufuatilia Hadi mimba za wanaume wenzenu
Mkuu ukweli ndio huo bhana mwanaume mzima badala tujadili makato yanatuumiza alafu jitu limekalia majungu ya ndoa za watuHilo nalo neno kuntu
Nadhani umepotea njia bro, hili jukwaa linahusu kufuatilia maisha ya watu, kuyachambua na umbea wa hapa na pale.Mkuu ukweli ndio huo bhana mwanaume mzima badala tujadili makato yanatuumiza alafu jitu limekalia majungu ya ndoa za watu
Kweli aiseeKumbe Majizzo alisubiri kwanza ili asiuziwe mbuzi kwenye gunia
Hiyo ni bei ya private room, achilia mbali matibabu binamu, sio mchezo... hospital yenyew c mchezo, sio kina kajamba nan wakizalia aga khan wanajiona ma don
Acha uwongo mkuuAga khan ndio excutive hospital hapa Tanzania.. mpinzani wake ni muhimbili tu. Sababu pia wana vip service ambayo ni expensive sana.
Aga khan huwez ifananisha na hospital yoyote hapa Tanzania.. ukitoa muhimbili
Acha uwongo mkuu
Umetembea mikoa yote TZ au ni hpo dar tu freshman
Dar sio Tanzania wengi mnaoishi humo ni machokoraa na omba omba Kuna bugando Kuna seliani Kuna kcmc n.kDar ndio Tanzania.. kama kuna hospital yeye miundo mbinu kuliko muhimbili ama agakhan dar itaje.. narudia tena aga khan dar na muhimbili ndizo zina lead kila kitu
Dar sio Tanzania wengi mnaoishi humo ni machokoraa na omba omba Kuna bugando Kuna seliani Kuna kcmc n.k
Freshman tembea uone mengi cio kujifungia hpo kariakoo
Utakuja kumkataa uyo bakiza manenoHiyo ndio maana halisi ya "mke bora" anaejua privacy anaejua nn chakuweka public
nini cha kutulia nacho ndani, huwa sipendi hata wanaoanika vitumbo vyao public
yani mtu hata mtoto hajatoka unaanza ringishia watu tumbo,Lulu kawa mkubwa "kichwani"
Alingalia kwanza kama shamba lina rutubaKumbe alifunga ndoa akiwa tayari ana mimba ya kama miezi 2 hivi..
Hatimaye Elizabeth Michael "Lulu" na Francis Ciza "Majizzo" wafunga ndoa baada ya uchumba wa miaka miwili na nusu
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Ile ndoa iliyosubiriwa sana na kusemewa maneno mengi hatimaye imefungwa. Lulu na Majizzo wameoana leo kanisa la mtakatifu Gasper na inasemekana wako Serena hotel hivi sasa wakipiga picha. Ikumbukwe Lulu alivalishwa pete ya uchumba kama suprize kwenye sherehe...www.jamiiforums.com
Aliyoyapitia Lulu kama ungekua wewe ungeshajinyonga, acheni chuki za kijinga nyie wavulana wa jf yaan huu uzi ukiusoma wavulana ndio mmecomment kwa chuki sana,Mapito gan sasa
Lulu alikua ni kaschana tu kajinga
Hakuwah fanyishwa mapito.
Ni mapuuzi tu ambayo vischana viaivyojielewa huwa vinafanya.
Baaadae huko akikua akili ndo anarudi kwenye reli.
Mimba ya Miezi 4 sio 2Kumbe alifunga ndoa akiwa tayari ana mimba ya kama miezi 2 hivi..
Hatimaye Elizabeth Michael "Lulu" na Francis Ciza "Majizzo" wafunga ndoa baada ya uchumba wa miaka miwili na nusu
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Ile ndoa iliyosubiriwa sana na kusemewa maneno mengi hatimaye imefungwa. Lulu na Majizzo wameoana leo kanisa la mtakatifu Gasper na inasemekana wako Serena hotel hivi sasa wakipiga picha. Ikumbukwe Lulu alivalishwa pete ya uchumba kama suprize kwenye sherehe...www.jamiiforums.com