Lulu ajifungua mtoto wa kiume...

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,380
Habari za chini ya kapet zinasema, mcheza filamu mwenye mvuto wa aina yake, Elizabeth Michael (lulu), amejifungua kwa operation katika hospital ya saifee, unaambia katika hospital hiyo kwa siku wanatoza 1M, kweli lulu kabarikiwa, Mungu ampe nini mtoto wa watu, mume tajir, ana mtoto dah
IMG_3280.jpg
 
Habari za chini ya kapet zinasema, mcheza filamu mwenye mvuto wa aina yake, Elizabeth Michael (lulu), amejifungua kwa operation katika hospital ya saifee , unaambia katika hospital hiyo kwa siku wanatoza 1M , kweli lulu kabarikiwa, Mungu ampe nini mtoto wa watu, mume tajir, ana mtoto dahView attachment 1856833
Wewe utajifungua lini?
 
Kumbe alifunga ndoa akiwa tayari ana mimba ya kama miezi 2 hivi..
Kumbe Majizzo alisubiri kwanza ili asiuziwe mbuzi kwenye gunia
 
Nimependa kitu kimoja....

Huyu mtoto kapevuka mno kiakili sasa kama inafika hatua kajifungua na magazeti hajaandika au mitandao kuchafuka ....

Bro, kapata mke bora
Hiyo ndio maana halisi ya "mke bora" anaejua privacy anaejua nn chakuweka public

nini cha kutulia nacho ndani, huwa sipendi hata wanaoanika vitumbo vyao public

yani mtu hata mtoto hajatoka unaanza ringishia watu tumbo,Lulu kawa mkubwa "kichwani"
 
Back
Top Bottom