Maumivu ya kichwa huanza pooole pole!!
amejivua nguo hadharani.
Nimeshangazwa sana na LUKUVI kumpongeza muuaji
Yani napatwa na mashaka na wajumbe wa humu JF!
Wajumbe wa JF ni wavivu wa kufikiri tena kwenye mambo ya kawaida sana.
Hali hii inatokana na kukubali na kukumbatia fikra za kikundi cha watu wachache na waganga njaa yaani CHADEMA.
Mtanzania jitambue na huwe huru kifikra, acha kuwa balozi wa hao WASALITI wa taifa lao kwakuwa vibaraka wa watu wa magharibi yaani CHADEMA.
Turudi kwenye mada;
Alichosema mwanasiasa makini sana na mzalendo Mhe. Lukuvi ni katika kuijenga hoja yake ya kuwahamasisha polisi kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi mkubwa na kuzingatia maadili ya kazi kama kanuni na sheria zao zinavyo elekeza.
Katika kufanya hivyo basi, alimtaja kamanda Kamuhanda kama mfano wa makamanda ambao wanabidii kubwa kazini jambo ambalo hakuna mtanzania mwenye hekima na busara anaeweza kupinga kuhusu kamanda Kamuhanda.
Lakini haya yote yametokana na sababu kubwa ya kamanda kamuhanda kusemwa sana kwenye hotuba kivuli, na kama wote tujuavyo, mti wenye matunda siku zote ndio unapigwa mawe.
Kwa kumalizia tu, nichukue fursa hii kuwahasa watanzania wote bila kujali itikadi, epuka vitendo vinavyo fanywa na CHADEMA katika kushinikiza maandamano, ni mambo yanayo peleka machafuko na kuhatarisha amani ya nchi, kwa kufanya hivyo basi, tutawapa askari wetu muda na nguvu zaidi yakupambana na vitendo halisi vya uhalifu nchini. Haya yana mwisho lkn! Inaonekana we una maisha mazuri sasa nenda huko vijijin