piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 613
Lukuvi hana jipya
I knew Lukuvi angekimbia coz hana hoja, magamba crews kama kawaida yao wakabisha
Lukuvi hana jipya
Waziri Lukuvi amekataa kushiriki katika mdaharo ulioandaliwa na asasi moja juu ya kilichojiri Bungeni kuhusiana na mchakato wa Katiba mpya.Mdaharo huo ambao ulipangwa kufanyika Jumapili kuanzia saa Saba mchana hadi saa Kumi na mbili jioni ungewashirikisha Waziri Lukuvi na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bwana Tundu Antipasi Lissu.Katika maelezo yake ya kwanini hatashiriki kwenye mdaharo huo Waziri Lukuvi alidai kuwa hana taarifa kutoka ofisini kwake juu ya mwaliko huo kwasababu alikuwa ziarani mikoani kwa shughuli za kikazi na kwamba anapanga kuelekea Mkoani Iringa leo kama mwendelezo wa ziara zake za Mikoani za kikazi.
Waziri Lukuvi amekataa kushiriki katika mdaharo ulioandaliwa na asasi moja juu ya kilichojiri Bungeni kuhusiana na mchakato wa Katiba mpya.Mdaharo huo ambao ulipangwa kufanyika Jumapili kuanzia saa Saba mchana hadi saa Kumi na mbili jioni ungewashirikisha Waziri Lukuvi na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bwana Tundu Antipasi Lissu.Katika maelezo yake ya kwanini hatashiriki kwenye mdaharo huo Waziri Lukuvi alidai kuwa hana taarifa kutoka ofisini kwake juu ya mwaliko huo kwasababu alikuwa ziarani mikoani kwa shughuli za kikazi na kwamba anapanga kuelekea Mkoani Iringa leo kama mwendelezo wa ziara zake za Mikoani za kikazi.
Waziri Lukuvi amekataa kushiriki katika mdaharo ulioandaliwa na asasi moja juu ya kilichojiri Bungeni kuhusiana na mchakato wa Katiba mpya.Mdaharo huo ambao ulipangwa kufanyika Jumapili kuanzia saa Saba mchana hadi saa Kumi na mbili jioni ungewashirikisha Waziri Lukuvi na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bwana Tundu Antipasi Lissu.Katika maelezo yake ya kwanini hatashiriki kwenye mdaharo huo Waziri Lukuvi alidai kuwa hana taarifa kutoka ofisini kwake juu ya mwaliko huo kwasababu alikuwa ziarani mikoani kwa shughuli za kikazi na kwamba anapanga kuelekea Mkoani Iringa leo kama mwendelezo wa ziara zake za Mikoani za kikazi.
Serikali ilishashtukia midahalo inayoandaliwa na kwa udhamini wa WAPINZANI, halafu hata hivyo kama wana hoja si wangepingana naye bungeni kama siyo ushahidi tosha kuwa wanatumia media vibaya.
Hakuna serikali yoyote duniani inayoandaliwa midahalo na media zenye mwelekeo wa Upinzani, hata mimi ningeshangaa kuona Serikali inaingia mkenge kiasi hicho.
Acha kuropoka wewe. Yaani Lisu yuko vizuri kuliko Lukuvi? Mbona mnapenda kufananisha vitu ambavyo havipaswi kufananishwa. Lukuvi ni waziri tena mwenye mamlaka ya bunge. Anajua mambo mengi na ana vielelezo kuliko hawa waropokaji. Mbona siku ile alipotoa vielelezo bungeni wabunge wa chadema akiwemo Lisu hawakukanusha na badala yake wakaleta fujo ambazo zimewavunjia heshima?
Itashambuliwa vp kama ina hoja,uovu haushindwi kama mapanga bali kwa mema,kama Lukuvi anahoja automatic atamshinda Lissu,muovu siku zote lake giza,mwambie aendelee kukimbia tu...bora hata ameamua kuachana na mdahalo huo, kwa sababu ukiangalia washirki wengine wa mdahalo huo utagundua kuwa ni wa kupangwa kwa makusudi ili kuishambulia serikali, safi sana, nani ambaye hajui kilichonyuma ya pazia kwa kuwashirkisha watu kama yule mkuu wa SAUT? ambao hamjui nitafuteni kwenye private niwamegee.
Umejuaje kunamwelekeo wa upizani,kama mpo sahihi na matukio ya pale Bungeni kipi kiwaogopeshe kwenda kwenye mdaalo...Hakuna serikali yoyote duniani inayoandaliwa midahalo na media zenye mwelekeo wa Upinzani, hata mimi ningeshangaa kuona Serikali inaingia mkenge kiasi hicho.
Pale kwa Semunyu dakika 45 ITV ccm wamepanga foleni na wengine wanafanya booking wanajua pale unatiririka tu hakuna cha simu wala kubanwa popote,uku kwenye midahalo au kwa Alfred Nasako hawaendi teh teh teh wanajua kuna MAKAA YA MOTO,umesahau ule mdahalo wa uchaguzi mapindi yale walivyokimbia...Viongozi wa serikali ya Ccm wanaingoza hii nchi kama waganga wa kienyeji, hawana hoja za kupambana na hoja, huwa wanapenda speech za upande mmoja, kama walivyo potosha wananchi ITV kuhusu kilicho tokea bungeni, Wasira, Lukuvi na dakika 45 sasa wameona Lissu anakwenda kuwapa ukweli wa kilichotokea bungeni, jamaa kaingi pori, hahahaaaaaa! Ccm bwana! inafurahisha sana
Mkuu midahalo ya wenzetu inakuwa so organized na inakuwa imeandaliwa na taasisi ambayo haifungamani na upande wowote, usifananishe midahalo hii na huu upup wa kitanzania ambao kwanza watu wanakaa na kutafuta namna ya kumkaanga mwingine na mnaletewa mtu kama R.K kuongoza mdahalo unategemea nini? mfano mzuri ni huu ambao LUKUVI ameukataa, tayari ilishafamika kuwa miongoni mwa wataohusika moja kwa moja ni mkuu wa SAUT, yule CDM 100% au mtu kama LWAITAMA au KAKOBE wahudhurie mdahalo what do you expect? Tanzania hatuna taasisi za kuandaa midahalo, inabidi kwanza tulione hilo badala ya kukimbilia kuwa mashabiki tu.
Waziri Lukuvi amekataa kushiriki katika mdaharo ulioandaliwa na asasi moja juu ya kilichojiri Bungeni kuhusiana na mchakato wa Katiba mpya.Mdaharo huo ambao ulipangwa kufanyika Jumapili kuanzia saa Saba mchana hadi saa Kumi na mbili jioni ungewashirikisha Waziri Lukuvi na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bwana Tundu Antipasi Lissu.Katika maelezo yake ya kwanini hatashiriki kwenye mdaharo huo Waziri Lukuvi alidai kuwa hana taarifa kutoka ofisini kwake juu ya mwaliko huo kwasababu alikuwa ziarani mikoani kwa shughuli za kikazi na kwamba anapanga kuelekea Mkoani Iringa leo kama mwendelezo wa ziara zake za Mikoani za kikazi.
Tofautisha kuandaa na kushiriki,media imeandaa tu lakini washiriki wengine,basi waandae TBC uone kama Lukuvi hukutoka nduki atakimbia tuu.Lisu maji marefu ukiingia tu nyesi linakukaukia kwenye nguo ya ndani
The bottom line ni kwamba amekimbia mdahalo.....full stop.bora hata ameamua kuachana na mdahalo huo, kwa sababu ukiangalia washirki wengine wa mdahalo huo utagundua kuwa ni wa kupangwa kwa makusudi ili kuishambulia serikali, safi sana, nani ambaye hajui kilichonyuma ya pazia kwa kuwashirkisha watu kama yule mkuu wa SAUT? ambao hamjui nitafuteni kwenye private niwamegee.
mkuu TECH WIZ hata kama ni mimi nikiitwa kwenye mdahalo halafu nikajua sina hoja, na mtu nitakayefanya naye mdahalo yuko vizuri kweli kweli; lazma niingie mitini. Simlaumu sana lukuvi maana sasa angefanyaje! na wakati akijaribu kuyapima maji; anaona wazi hawezi kuyavuka?