Lukuvi akwepa mdahalo na Lissu

Lukuvi akwepa mdahalo na Lissu

Dakika 45 za ITV ana muda. Pale hana muda! My country is led by the worst elements! The outcasts
 
Bora kakimbia kulikoni dhahama ambayo ingemkumba ambayo ingedhihirisha upumbavu wake na wa chama chake
 
Ningeshangaa sana kama Lukuvi angekubali, hana hoja za kupambana na Lisu.
 
mkuu TECH WIZ hata kama ni mimi nikiitwa kwenye mdahalo halafu nikajua sina hoja, na mtu nitakayefanya naye mdahalo yuko vizuri kweli kweli; lazma niingie mitini. Simlaumu sana lukuvi maana sasa angefanyaje! na wakati akijaribu kuyapima maji; anaona wazi hawezi kuyavuka?
umeongea na kumaliza yote mkuu betlehem, hata kama uzi ukifungwa na kuwekwa 'sticky' wote tutaelewa!
 
Kwa kiongozi wa serikali kawaida tu hakuna la kushangaza mkuu, mtumishi wa siku nyingi sana yule, huwezi kumlinganisha na kiongozi tu wa chama cha siasa ambao nao wana nyumba za aina hiyo.

Enhee utuambie basi lukuvi amekuwa akifanya biashara gani? Hawa wengine walioitumikia serikali tangu enzi za nyerere mbona hatuoni wakiwa na utajiri mkubwa km wa lukuvi? Mwanasiasa uwe na jumba la bilioni?na kina mengi and co. Wayakuwa na nini? Jaman acheni kuifilisi nchi.
 
we ukitaka kuwachanganya CCM waambie kuna Mdahalo - wanatoka nduki hao...sijui wana aleji gani
 
Baba yake mwenyewe aliukimbia mdahalo 2010 akaishia kuangukaanguka majukwaani, sembuse huyu Lukuvi, elimu yenyewe ya kuunga!!!
 
big up lukuvi, u've made the wrong but understandable decision.
 
Wahairishe hadi wiki ijayo, utasikia anaunganisha na mbea akitoka iringa.
 
Dahh! Weng walisha tabir,

Naishaur hiyo asas ipeleke Iringa huo mdahalo,au waufanyie ndan ya usafir.

Kama ni upendo kochi,fast jet au lyimo zin
 
Dakika 45 za ITV ana muda. Pale hana muda! My country is led by the worst elements! The outcasts
Tuseme (Mungu apishe mbali) likitokea kama lililotokea Nairobi jumamosi iliyopita ataendelea na ratiba yake? Kwa maana suala la katiba ni la muhimu na linaonekana linaweza kutuingiza kwenye matatizo kama nchi, ndio maana hata Mwenyekiti wa tume ya Katiba pamoja na kuwa na ratiba nyingine amekuwa anatokea mara kwa mara kutolea baadhi ya mambo maelezo na ufafanuzi ili twende sawa.
Huyu mheshimiwa yeye ndiye anatuaminisha kila siku kuwa Wapinzani wanakosea na hasa suala la katiba, sasa ni kwa nini asije na kutumia muda huu kutuweka wazi!? Kweli uongozi wa nchi umeingiliwa.

 
Serikali ilishashtukia midahalo inayoandaliwa na kwa udhamini wa WAPINZANI, halafu hata hivyo kama wana hoja si wangepingana naye bungeni kama siyo ushahidi tosha kuwa wanatumia media vibaya.

unajitahidi kujibu, lakini mbona wamuhofia sana Dr kwenye huo mdahalo? au unafikiri kama wasomi wengine wasiokuwa huru na fikra zao kuishabikia chama tawala baada ya kutoa changamoto ili kuboresha hali ya uchumi wa watu wake. na pia ki ukweli huo mdahalo hauna fair, lisu sawa na wabunge 50 wa kuchaguliwa na 97 viti maalumu. kutoka upande wa ndiooooooooooooooo.
 
Nilikua nasubiri hii kitu kwa hamu sana lakini ndo ivo tena! Hapa ndipo Ccm inajiua yenyewe na kuwapa point wapinzani sana! Kwakutokuhuzuria Mh Lukuvi sisi wananchi tumueleweje?
 
Huyo mtu mzima kaogopa kuvuliwa nguo hadharani haki ya mama!

Halaf hii mijitu ikiwa nje huko unasikia eti wanajali utawala bora na uwazi. Je kukimbia midahalo ndio utawala bora na uwazi? Hii serikali bado inajificha nyuma ya ujinga wa watz. Ipo siku watz watagutuka. Naam na siku yenyewe i yaja kwa kasi sana!
 
Kama vile namuona anavyocheka...."nimewapiga changa la macho, nyoo niende mei ntamuweza Lisu?"
 
Big up Lukuvi heri lawama kuliko fedheha. Iwapo rais mwenyewe anakwepa midahalo na wapinzani itakuwa wewe Lukuvi. Tena na mtu mwenyewe huwa unamuita kichaa wakati mnaleta mipasho bungeni huku ukilindwa na kiti cha spika unataka kwenye uwanja huru wewe ndio uonekane kichaa? Mwenzio N.Spika juzi kajichanganya kwa Mnyika akaishia kusema anadharau wakubwa wake baada ya kulazimisha hoja na kushindikana. Haendi mtu wa Ccm hapa kupambana na Lisu kwa hoja.
 
Ila angealikwa kwenye program ya dakika 45 ya Selemani Seminyu ITV lazima tungemuona maana pale anaongea peke yake hakuna zile "counter attack!!"
 
ktk bongo politician Lissu n m2 mwenye uwezo mkubwa xana wa hoja na hasa kwnye suala la sheria na mawaziri ambao n empty mind ktk mawaziri wote Tz kuna Nchimbi, na huyo Lukuvi tena kwa uropokaj lukuvi anaongoza leo hii aende kwa Lissu kchwa km kle ataongea nn? Lukuvi waziri aliyepewa dhamana ya kuongoza watanzania anafkia sehem anaanza kutoa maneno ya taarab Ndani ya Bunge kubixhana na mbunge tena wa viti maalum Chiku quote"kizuri cha jiuza na kbaya cha jitembeza kismai ina wenyew"na amekuwa akropoka ktk mambo mhm ya nchi leo akaongee ataongea nn?fuliaaaaaaaa
 
Sijawahi kusikia uwepo wa mdahalo kuhusu jambo lolote kati ya standard seven leaver na intelectual popote pale duniani. Lukuvi (std seven leaver) na Lisu (intelligent graduate) wangewezaje kubadilishana mawazo kwa hoja? Imposible!! Ni heri Lukuvi ameingia mitini, mimi sipendi kuona mtu mzima akiadhirika hadharani, ukizingatia ni waziri (asiye na wizara maalum).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom