Lukuvi akwepa mdahalo na Lissu

Lukuvi akwepa mdahalo na Lissu

ningemshangaa kama anagehudhuria.
yaani wewe uambiwe huu mto una mamba alafu na wewe useme ngoja nijaribu kuongelea hawezi kuningata.
Lukuvi nakusihi tena kaa mbali na Lisu atakuvua nguo

Nafikiri alitusikia tulipomuasa kuwa wanamuonea kumuweka meza moja hasa katika mjadala ambao unagusa mambo ya sheria, tunamjua, kichwani hana sharia bila ya werema, ndiyo maana huwa anaomba muongozi au taarifa kwa spika hadi atakapo ongea na Werema, ni kweli, at least amelinda heshama yake, Lissu angemvua nguo mchana kweupe....big up fisadi Lukuvi na jumba la bilioni moja mbezi beach....!!!
 
Katika hali inayosikitisha kabisa mnadhimu mkuu wa serikali bungeni, waziri nchi ofisi ya rais anayeshughulikia Bunge na sera, Mheshimiwa Willium Lukuvi(Mbunge wa Ismani-CCM) ameamua kwa makusudi kabisa kumkwepa na kumkimbia mnadhimu mkuu wa kambi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu(Mbunge wa Singida kusini-CHADEMA) katika mdahalo uliofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani city uliokuwa unahusu mwenendo wa bunge katika mswaada wa kuandikwa kwa katiba mpya.
Willium alikataa katakata kuhudhuria licha ya waandaaji kumwalika kwa msisitizo zaidi ya mara mbili.

Tukio hili linatoa ishara mbaya kwa serikali na CCM kuwa inaogopa kupambana na wapinzani hadharani kwa hoja zenye nguvu na mvuto.
Kwa sasa umekuwa ni mtindo wa kawaida kwa viongozi wa CCM kukimbia midahalo na makongamano huru na muhimu ya kisiasa yanayohusisha wapinzani pia.

SOURCE:Nukuu katika Vyombo vya habari vya leo(Redio, magazeti, Runinga na Mitandao)
 
bora hata ameamua kuachana na mdahalo huo, kwa sababu ukiangalia washirki wengine wa mdahalo huo utagundua kuwa ni wa kupangwa kwa makusudi ili kuishambulia serikali, safi sana, nani ambaye hajui kilichonyuma ya pazia kwa kuwashirkisha watu kama yule mkuu wa SAUT? ambao hamjui nitafuteni kwenye private niwamegee.

.....ummegee nani taarifa zako za kigamba gamba? Ningemuona Lukuvi mwehu zaidi ya jinsi navyowachukulia CCM wote kama angeshiriki mdajalo huo kutokana na kutokuwa na uwezo wake mdogo wa kujibizana kwa nguvu za hoja.

Poleni sana CCM, sasa mmeanza kushtukia kuwa viongozi wenu wengi wakuokotana uwezo wao mdogo ndo maana mmewakataza wasiende kujiaibisha katika mijadala ya wazi.
 
comrade haya ni matatizo ya degree fake, na akili za kushikiwa na ccm, shame upon him, karibu wakuu wote wa ccm ni vilaza ni kwamba hawaja pelekwa mirembe, SHAME UPON YOU LUKUVI, HALAFU DADA YAKE C ANAHUSIKA NA BIASHARA YA SEMEBE? JUENI HILI CC HUKU KITAA TUNAMPATA SANA
Mbona jibu ulikuwa nalalo kuanzia mwanzoni kwa akili yako unafikiri Lukuvi yuko tayari kwenda kukadhalilishwa na Lisu hapana labda mwingine lakini sio lukuvi tunayemfahamu coz hana hoja zaidi ya jazba pia Lukuvi is among the people who are in the list of Kainerubaga msemakweli of shody Diploma and degrees holder.
 
Teh..teh..Lukuvi, Lukuvi...my school mate has nothing to share there, hana agenda yoyote inayoweza kumshinda kamanda Lissu

Lakini tunaambiwa alisoma czech lazima atakuwa mtaalamu wa propaganda huyu!
 
Upuuzi unaandaliwa na wapuuzi kwasababu za kipuuzi kwa kuwaaminisha watu upuuzi.
 
lukuvi kaogopa aibu kama iliyompata ndugai alipokutana na mnyika. MACCM HATA YAWE 30 HAWAMUWEZI KAMANDA YEYOTE WA CHADEMA. MACCM YOTE CHENGA CHENGA TU!
 
lukuvi kaogopa aibu kama iliyompata ndugai alipokutana na mnyika. MACCM HATA YAWE 30 HAWAMUWEZI KAMANDA YEYOTE WA CHADEMA. MACCM YOTE CHENGA CHENGA TU!

Mkuu wa kuwakimbiza mpera-mpera ni wewe nikuchukulie siriaz?naskia Sombetini maCCM yamekosa mgombea
 
Hao wapanga mifdahalo nao hawajui kitu "akili kubwa kuongea na akili ndogo" nyie ni mashahidi kwamba ile kichwa ya lukuvi haina kitu zaidi ya maneno ya taarabu. Wkt kichwa ya Lisu ni ya fact.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom