<br />Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho.<br />
<br />
===========<br />
UPDATES:<br />
<br />
Luhanjo anasema tuhuma zilikuwa za uwongo<br />
Anasema taasisi za Wizara hazizidi 7 na si zaidi ya 20 kama ilivyodaiwa<br />
Taasisi nne tu ndizo zilizochangia na zilichanga karibu TZS 500mil na si zaidi ya 1bil kama ilivyodaiwa<br />
Pesa zilichangwa ili kuwawezesha watendaji watakaoenda kwenye bunge la bajeti<br />
REA walichangia 50mil<br />
TANESCO walichangia 40mil<br />
EWURA waliombwa 40mil lkn hawakutoa, walichangia gharama za chakula na malazi kwa watendaji wa Wizara<br />
Idara ya Uhasibu ya Wizara ilitoa 150mil<br />
Idara ya mipango ya Wizara ilitoa 278mil<br />
<br />
More updates to follow
<br />Jamani hizi tuhuma hazikuwa na uzito kama kina Shelukindo walitaka. Si mnaona waasi wa Libya wanavyohangaika kuhold ground?
Alionewa tuu sema wabunge waccm wengi WALOPOKAJI!Pamoja na kwamba zilikuwa tuhuma, natamani kusoma hiyo ripoti kwa urefu.
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho.
===========
UPDATES:
Luhanjo anasema tuhuma zilikuwa za uwongo
Anasema taasisi za Wizara hazizidi 7 na si zaidi ya 20 kama ilivyodaiwa
Taasisi nne tu ndizo zilizochangia na zilichanga karibu TZS 500mil na si zaidi ya 1bil kama ilivyodaiwa
Pesa zilichangwa ili kuwawezesha watendaji watakaoenda kwenye bunge la bajeti
REA walichangia 50mil
TANESCO walichangia 40mil
EWURA waliombwa 40mil lkn hawakutoa, walichangia gharama za chakula na malazi kwa watendaji wa Wizara
Idara ya Uhasibu ya Wizara ilitoa 150mil
Idara ya mipango ya Wizara ilitoa 278mil
More updates to follow
aisee nilikasilika sana ila umenifanya nicheke sana!mzee nilidhani utaanza yale maneno yako ya kudokoa kwenye dictionary ya cantankerous! Labda this time ungesema jairo is cantankerous and polymorphism very much within this circumpolar! Hahahahaha! Huwa naona kama burudani vile!
Hizi idara zilitoa fedha kutoka mfuko gani?Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho.
===========
UPDATES:
Luhanjo anasema tuhuma zilikuwa za uwongo
Anasema taasisi za Wizara hazizidi 7 na si zaidi ya 20 kama ilivyodaiwa
Taasisi nne tu ndizo zilizochangia na zilichanga karibu TZS 500mil na si zaidi ya 1bil kama ilivyodaiwa
Pesa zilichangwa ili kuwawezesha watendaji watakaoenda kwenye bunge la bajeti
REA walichangia 50mil
TANESCO walichangia 40mil
EWURA waliombwa 40mil lkn hawakutoa, walichangia gharama za chakula na malazi kwa watendaji wa Wizara
Idara ya Uhasibu ya Wizara ilitoa 150mil
Idara ya mipango ya Wizara ilitoa 278mil
More updates to follow
Hii serikali inatupeleka wapi sasa. Mtu ambaye ametuhumiwa kwa uwazi kabisa anarudishwaje tena kazini. It beats me!