jamani kwani kutuhumiwa ni kukutwa na hatia? si alituhumiwa, akawekwa kando kupisha uchunguzi huru na umekamilika na kuonekana hana hatia (kama ndivyo alivyoonekana)
mi nafikiri kwa mchakato wa utawala bora wako sawa, ila wasiwasi wangu ni sawa na wa wengine, kama suala la jairo halikuwa la rushwa/ufisadi, sasa suala la rushwa/ufisadi ni la aina gani? kama hata jairo kapenya, atakayenaswa ni nani tena?
kwa kweli mi naona kama serikali inaji-disqualify yenyewe katika ku-lead hii vita ya rushwa/ufisadi
bado nasubiri kupata taarifa kamili kabla siaongeza maoni yangu mengine
mbarikiwe sana
jamani kwani kutuhumiwa ni kukutwa na hatia? si alituhumiwa, akawekwa kando kupisha uchunguzi huru na umekamilika na kuonekana hana hatia (kama ndivyo alivyoonekana)
mi nafikiri kwa mchakato wa utawala bora wako sawa, ila wasiwasi wangu ni sawa na wa wengine, kama suala la jairo halikuwa la rushwa/ufisadi, sasa suala la rushwa/ufisadi ni la aina gani? kama hata jairo kapenya, atakayenaswa ni nani tena?
kwa kweli mi naona kama serikali inaji-disqualify yenyewe katika ku-lead hii vita ya rushwa/ufisadi
bado nasubiri kupata taarifa kamili kabla siaongeza maoni yangu mengine
mbarikiwe sana
sasa source wako nani??? Na kwanini unaongea issue sensitive namna hiyo kwa ufupi kiasi hicho bila details? Yaani umeniharibia siku yangu leo mara mbili, kwanza kwa kuandika jambo zito kwa ufupi sana, pili kama ni ukweli basi siku yangu leo ndo imekuwa mbaya zaidi!
Hii serikali inatupeleka wapi sasa. Mtu ambaye ametuhumiwa kwa uwazi kabisa anarudishwaje tena kazini. It beats me!
well.. I know I was right on this one. Shelukindo na wenzake hawakuwa na mkakati wa kweli wa kumlipua Jairo it was just the same theatrics of political triangulation. This one was easy.
Hii serikali inatupeleka wapi sasa. Mtu ambaye ametuhumiwa kwa uwazi kabisa anarudishwaje tena kazini. It beats me!
jamani kwani kutuhumiwa ni kukutwa na hatia? si alituhumiwa, akawekwa kando kupisha uchunguzi huru na umekamilika na kuonekana hana hatia (kama ndivyo alivyoonekana)
mi nafikiri kwa mchakato wa utawala bora wako sawa, ila wasiwasi wangu ni sawa na wa wengine, kama suala la jairo halikuwa la rushwa/ufisadi, sasa suala la rushwa/ufisadi ni la aina gani? kama hata jairo kapenya, atakayenaswa ni nani tena?
kwa kweli mi naona kama serikali inaji-disqualify yenyewe katika ku-lead hii vita ya rushwa/ufisadi
bado nasubiri kupata taarifa kamili kabla siaongeza maoni yangu mengine
mbarikiwe sana
Ningeshangaa sana kama Jairo angefukuzwa. Hata yule Mkurugenzi wa Wanyama pori itabidi arudishwe kazini na kulipwa fidia ya kuchafuliwa na Shellukindo huyohuyo. Anayestahili kutimuliwa ni JK pekee na sio mwingine
kama Pinda angekuwa na ujasiri angejiuzulu kwa kuwa alishatamka bungeni kuwa nastahili kufukuzwa kazi kwa kuwa makosa aliyotenda hayawezi kutetewa kwa namna yoyote ile ila hakuwa na malaka hayo kuwa sio yeye aliyemteua.