- Thread starter
- #21
YOU MUST BE HOPELESS!Aiseeeh,
Mleta mada u mgonvi yaani unaweza ukajitoa mhanga humu JF!!
Maana ukijibiwa usichopenda kusikia unatamani kurukia mtu!?
Kwa tabia hiyo wewe na mwanao/binti yako pale Lugalo tayari hapakufai maana siku mwanao akifail utaleta timbwili kisha jeshini watakunyosha bila vifaa vya kunyoshea wagonjwa!!
Nitarudi tena ... ... ...