Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,500
- 9,279
CAG Mstaafu, Ludovic Uttoh amesema hakuna sababu za kwanini Wabunge wa #Tanzania hawalipi Kodi licha ya kwamba wana Mishahara kama walivyo Watumishi wengine wanaokatwa Kodi.
Uttoh amesema "Siku zote msingi wa Kodi ni Usawa na wala kodi haitakiwi kuwa na Matabaka. Ikiwa tunasema tunalipa Kodi kwa maendeleo ya Nchi ni kwanini Wabunge hawakatwi?"
Akieleza zaidi, amesema hafahamu kama kuna Nchi nyingine Duniani ambayo Wabunge wake hawalipi kodi. Kwanza logic ya kufanya hivyo haipo".
Uttoh amesema "Siku zote msingi wa Kodi ni Usawa na wala kodi haitakiwi kuwa na Matabaka. Ikiwa tunasema tunalipa Kodi kwa maendeleo ya Nchi ni kwanini Wabunge hawakatwi?"
Akieleza zaidi, amesema hafahamu kama kuna Nchi nyingine Duniani ambayo Wabunge wake hawalipi kodi. Kwanza logic ya kufanya hivyo haipo".