Ludewa: Kiongozi wa CHADEMA apiga magoti kuishukuru CCM kwa kutekeleza ilani yake. Hii ni baada ya mto Ruhuhu kukamilika

Hongereni sana wana Ludewa kwa kukamilishwa daraja la mto Ruhuhu. Mimi ni mmoja wa watu wanaofahamu adha ya mto Ruhuhu. Zamani kuvuka pale ilikuwa ni hatari kubwa ya mamba. Mungu ni mkubwa.
 
Hongereni sana wana Ludewa kwa kukamilishwa daraja la mto Ruhuhu. Mimi ni mmoja wa watu wanaofahamu adha ya mto Ruhuhu. Zamani kuvuka pale ilikuwa ni hatari kubwa ya mamba. Mungu ni mkubwa.
Hivi mto Ruhuhu upo ukitoka Lugarawa kuelekea Mavanga? maana mimi nimeishia Lugarawa.
 
..kupiga magoti ni kudhalilishana.

..sijui kwanini Ccm wanapenda huu mtindo wa kupigiana magoti.

..kupongeza sio tatizo, lakini kupiga magoti sio sahihi.
 
Huko ni Manda, kuvuka kuelekea Lituhi.
Ahaa! Manda sijafika nakusikia tu, nimeishia Ludewa Mjini tu. Naona miaka hii wamerahisishiwa usafiri kutoka Manda hadi Iringa.
Nadhani ile lami ikikamilika kutakuwa na usafiri wa moja kwa moja hadi Dar kama wenzetu Makete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…