Ataanza kutukanwa kwa kuisaliti kanuni ya kulaumu na kutukana.Huyu Diwani ajaanza kutukanwa
SSH2025
Hivi mto Ruhuhu upo ukitoka Lugarawa kuelekea Mavanga? maana mimi nimeishia Lugarawa.Hongereni sana wana Ludewa kwa kukamilishwa daraja la mto Ruhuhu. Mimi ni mmoja wa watu wanaofahamu adha ya mto Ruhuhu. Zamani kuvuka pale ilikuwa ni hatari kubwa ya mamba. Mungu ni mkubwa.
Huko ni Manda, kuvuka kuelekea Lituhi.Hivi mto Ruhuhu upo ukitoka Lugarawa kuelekea Mavanga? maana mimi nimeishia Lugarawa.
Ahaa! Manda sijafika nakusikia tu, nimeishia Ludewa Mjini tu. Naona miaka hii wamerahisishiwa usafiri kutoka Manda hadi Iringa.Huko ni Manda, kuvuka kuelekea Lituhi.