Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,770
Mbunge wa viti maalumu kwa miaka 12 na hawezi kujiongeza ndo maana anasema kuwa bungeni ni mahali pa kusifia serikali.Who is Lucy Mayenga? Simjui vema ila amesema kama ilivyotakiwa kusemwa. Bungeni nako kuna wabangaizaji kwa kivuli cha kuwakilisha wananchi
Hivi huyo Mange wenu ana usafi gani?jaribu kudodosa maisha yakefile lake chafu Sana huyu bi mama, mange ameanika michezo take yote michafu Instagram
Alijua Lucy owenya, kachemka vibaya mpaka aibu!?Mkuu una uhakika ama unapiga propaganda hapo Lumumba ili uende msalani?! Mtoto wa Ndesamburo anakuwa mbunge wa CCM?!
Sio umechanganya, hakuna unachokijua zaidi ya bendera fuata upepo!! Wasioelewa walikusapoti, ndio tatizo la Lumumba.Asante nimechanganya majina.
Anaonekana tu sio mtanzania ni mnyarwanda.Huyu nadhani ni mtusi na si mtanzania. Anataka wabunge wakae kimya? Hajui kuwa kazi ya mbunge ni kukosoa na kuishauri serikali? Au ndio anawinda uwaziri? Kweli baadhi ya wabunge wa ccm ni mizigo.
Hapana mkuu kama sijakosea mtoto wa ndesamburo anaitwa lucy Owenya kama sijakosea alikuwa anaweka breach nywele.Mtoto wa Ndesamburo.
Mwambie huyo.[emoji4] [emoji4]ungenijua wala usingesema hvyo, anyway ni maoni yako lakini.
Mtoto wa Ndesa ni Lucy Owenya, si huyu Lucy MayengaMtoto wa Ndesamburo.
Teh teh teh [emoji1] [emoji1] asante kwa hitimisho zuri mkuu. Dah!! Hata akijifuta jasho watu wanakosoa tu ndio upinzani ulipofikia.Sina uhakika sana lakini kabla ya uchaguzi na kabla ya El kuingia UKAWA agenda ya upinzani ilikuwa ni kumpata Rais mwenye haiba kama ya MAGU na Wabunge wazalendo na nchi ili kurudisha nidhamu kazini na uwajibikaji vitu ambavyo kwa sasa vinafanywa kwa spidi ya ajabu. Kasoro huwa hazikosi ila huo uzalendo kutoka kwa Wabunge waliowengi wa upinzani umepungua sana na Unaweza kuona ni kwa kiasi gani wanavyokosoa hatua za serikali katika kumaliza Ishu ya madawa ya kulevya, ufisadi, Elimu bure, Ujenzi wa miundombinu MAMA ambayo huchochea maendeleo kwa haraka kama vile reli, usafiri wa anga, barabara n.k.
Mkuu ukiingia kwenye ofisi za serikali kuna nidhamu za kutosha. Udhaifu wa uongozi uliokuwa ukipigiwa kelele na akina Mnyika haupo tena na kimsingi ndicho walikuwa wakikitaka wakati huo. Mi naona mtoto aliyezaliwa alitanguliza miguu badala ya kichwa tofauti na matarajio ya wapinzani nchini. Ili tuwe wazalendo wa kweli basi tumwache achape kazi na pale panapoonekana panakasoro basi tujenge hoja na Kukosoa huku tukitoa na suluhisho la kasoro zenyewe. Hivi sasa humu ndani kuna wakosoaji wa hata mheshimiwa Rais Magufuli akijifuta jasho. Wanahoji kwanini bodyguard asimfute.. Basi alimradi ni UPINZANI
We need Mange now, more than ever!Kumwamini mtu anayediriki kumtukana rais wa nchi matusi ya nguoni kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza!!!!!hii ni aibu kujipambanua mbele ya kadamnasi kwamba unamuamini mtu wa aina hii
Jk Nyerere pia alitukanwa AlhajiAlli Hassan Mwinyi pia alitukanwa. Who the hell are U ili usitukanwe?Kasome Bible Yesu Alitukanwa
Kwahiyo kuna kionhozi ka like?Inashangaza kuona lugha zinazotumika halafu viongozi wetu tuliowachagua wana press "like".
Ukisoma kwenye ukurasa wake,purely kanatumiwa na wabonho tena walio karibu sana na wahuska[emoji38] Hapana kuna mtu kanitumia Whatsapp
Kale kadada sijui kanatoa wapi info za watu
Kama kweli Tegemeo lako umeliweka kwa huyo ambaye hata ndoa imemshinda,basi kuna tatizoWe need Mange now, more than ever!
Mtoto wa mikocheni huyu....