habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
Ha ha ha mkuuu taratibu jamankLucy atakuwa amepata fundisho. Na sio yeye tuu bali kwa wabunge wote kuwa maneno yenye shombo yatapelekea kuanikwa tabia zao mpaka zile za chumbani. Kuzungumza bungeni huku mkiwanajisi wananchi ili kujitafutia sifa za kijinga kutoka kwa walio madarakani kutapelekea kuwa jua kwa undani tabia zenu chafu kabisa.
Lucy umeaibika 100% na huna pa kufichia sura yako. Na sio ajabu hii ndoa yako ya nne ikajifia na kupelekea wewe kutafuta ndoa ya tano.
Na wembe ni ule ule kwa watakao leta maneno ya shombo bungeni.