Atapewa ubalozi iliakatumbue jasho la watanzania vizuri....chezea Kikwete weweHautapita muda mrefu tutasikia kateuliwa kuwa mwenyekiti wa board! Years of looting lakini bado atapata pension!
Inakisiwa zilizowekwa Uswis ni kama Bilioni 390 ambayo haifiki hata robo ya bajeti ya Tanzania ya Trilioni 11. Fikiri tena kama ana trilioni 4 maana yake ana mara 10 ya pesa za watanzania zilizoko Uswis!! Au kwa lugha rahisi ni zaidi ya pesa zote zilizofichwa Uswis na Waafrika mashariki!!
Au labda hufahamu tofauti ya Trilioni na Bilioni.......Tuanzie hapo!??
Acha udini.yeyote anayetazama mambo kidini, naye ni mdini tu.Bora astaafu tu huyu fisadi papa na pia alikuwa ni mdini sana. Rest in everlasting fire Shimbo !
platozoom
Wewe unamtetea kwa lipi, au ni shemeji mtu? kwani hujui kuwa Shimbo yumo katika ile list ya 30 billionaires of TZ, ambaye utajiri wake unakadiriwa kuwa ni mabilioni ambayo ameyaficha uswisi, kutokana na dili alizozifanya, ikiwemo Meremeta?! Sasa tunaanza kupata picha kuwa aliamua kujikusanyia mapesa hayo ayatumie wakati wa kustaafu.
Lakini ushauri wa bure ninaompa, ni bora pesa zetu hizo akaamua kuturejeshea nchini, lakini akiamua kakaidi ushauri huu, kwa mkakati unaoandaliwa, ashishangae, badala ya kustaafu kwa amani, akajikuta anapandishwa kizimbani Kisutu!!
Unajua % zilizo patikana kwenye ununuzi wa zile Ndege zinazo tumia marubani 5, Tracks, Tanks, Guns, Allowance za Maaskali, Maduka ambayo hayalipi kodi wakati bei za vitu ni kama za posta-Kwa ujumla unalijua Jeshi wewe?
Angalau another chapter ya huko JWTZ ifungwe.. atakumbukwa kwa jinsi alivyovuruga demokrasia 2010.
maadam nyumban kwake napafahamu ntaenda kumuomba hata sh 1milion kama mgao ktk kodi yangu alioiiba
Mnadhimu mkuu wa jeshi (chief of staff) lt. gen Shimbo ataagwa rasmi kesho.
Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.
Shughuli ya kumuaga itafanyika kesho makao makuu ya jeshi, Upanga.
Ikumbukwe, alipata wadhifa wa unadhimu wa jeshi mwaka 2007 ambapo yeye na CDF Davis Mwamunyange walichukua madaraka kutoka kwa general Waitara.
Nitawajuza yatakayojiri kesho kwenye shughuli ya kumuaga huyu chief of staff.
Source: MOSHE DAYAN
Bila shaka mtu huyu anaonekana ni muhimu sana na hakuna mtu kama yeye nchi nzima ya Tanzania.Mnadhimu mkuu wa jeshi (chief of staff) lt. gen Shimbo ataagwa rasmi kesho.
Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.
Jk alimuongezea mda kama shukran kwa msaada mkubwa aliompa wakat jk anaondoka monduli kwa kupitia porin