Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 991
mzee mpuuzi sana yule...ameshirikiana na jk katika mambo mengi ya hovyo sana..na ni huyu huyu aliyesababisha mkuu wa majeshi mwamunyange aondoke bila kuaga na hakujulikana aliko baada ya huyu mzee kufanya mambo ya hovyo na jk kuyakubali kama yalivyo.....
Funguka mkuu Ilikuwaje? walimfanya nini Mwamunyange?