majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 568
kumbe ukiiba trilioni 4 ndo unakuwa muadilifu? Kazi ipo kwa tusiokuwa na mianya za kupiga hizo hela hatutakuwa waadilifu.Ametumikia nchi kwa uadilifu mkubwa..karibu nyumbani arusha mkuu
kumbe ukiiba trilioni 4 ndo unakuwa muadilifu? Kazi ipo kwa tusiokuwa na mianya za kupiga hizo hela hatutakuwa waadilifu.Ametumikia nchi kwa uadilifu mkubwa..karibu nyumbani arusha mkuu
Angalau another chapter ya huko JWTZ ifungwe.. atakumbukwa kwa jinsi alivyovuruga demokrasia 2010.
kumbe ukiiba trilioni 4 ndo unakuwa muadilifu? Kazi ipo kwa tusiokuwa na mianya za kupiga hizo hela hatutakuwa waadilifu.
...................na zile wazoweka Uswisi ni % ngapi ya bajeti ya Tz? kwani mishahara serikalini ilikuwa hailipwi na magari ya serikali yamepaki?Tuache uongo tufikiri: Twendeni taratibu sh. trilioni 4 ni bajeti ya Wizara nzima ya ulinzi kwa miaka zaidi ya minne. Sasa tuje kwenye mantiki Je, Lt gen Shimbo aliiba bajeti yote ya wizara ya ulinzi kwa kipidi chote hicho? Kwamba hakuna wanajeshi kulipwa mishahara, Wafanyakazi wizarani kulipwa mishahara.....wala magari kutembea kwa kipindi chote hicho. Hebu tuwe tunafkiria kidogo tu. Inawezekana kuna alichochukua, lakini trilioni 4 kama inavyosemwa na watu kwangu a big no!
...................na zile wazoweka Uswisi ni % ngapi ya bajeti ya Tz? kwani mishahara serikalini ilikuwa hailipwi na magari ya serikali yamepaki?
Mwenzake Mkapa analia Wastaafu wamesahauliwa! Ngoja sasa na yeye aende huko akaonje joto ya jiwe. Kama Mkapa analia, sembuse yeye?
TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
kumbe ukiiba trilioni 4 ndo unakuwa muadilifu? Kazi ipo kwa tusiokuwa na mianya za kupiga hizo hela hatutakuwa waadilifu.
tungekuwa na serikali magazeti ya kesho kutwa yangeandika hivi " Shimbo afikishwa mahakamani kwa ufisadi wa kutisha, anyimwa mdhamana"
Hawezi.., alishaongezwa,, muda umeisha leo.., kesho anaagwa,,Hivi hawezi kuomba kamkataba kadogo?
Whether it is trillions or billions,it doesn't matter. issue hapa, kama pesa hizo ameziweka kwa kificho, bila BoT, kutoa kibali cha uwekaji wa pesa hizo, maana yake ni kuwa hizo ni pesa chafu, ambazo, zinahalalisha yeye apandishwe kizimbani mahakamani, kujibu mashtaka ya kujipatia pesa kwa njia ya ufisadi!!Inakisiwa zilizowekwa Uswis ni kama Bilioni 390 ambayo haifiki hata robo ya bajeti ya Tanzania ya Trilioni 11. Fikiri tena kama ana trilioni 4 maana yake ana mara 10 ya pesa za watanzania zilizoko Uswis!! Au kwa lugha rahisi ni zaidi ya pesa zote zilizofichwa Uswis na Waafrika mashariki!!
Au labda hufahamu tofauti ya Trilioni na Bilioni.......Tuanzie hapo!??