Margin ya ushindi itakuwa ndogo sana
Umeajuaje hakuwako nchini au amefikia hitimisho lake kwa kuona ukweli kwenye ground?Tatizo la waandishi wengine wa habari wa nchi za nje nao wanasikia habari na kuziripoti. Ili uwezwe kutoa habari kamili ya kuaminika unatakiwa uwe katika sehemu ya tukio na zaidi ya hapo kuweza 'kuhusi mshipa' (feel the pulse) wa mambo yanavyokwenda katika uhalisia wake.
Hayo ni maoni mbona unakasirika hivyo?
Du ndugu uko kijiji gani. Hilo neno linamaanisha si rahisi kubashiri mshindi... tofauti na Magufuli na CCM wanaosema watashinda kwa tsunami!
Afrika Kusini wamesema Dr.Pombe Magufuli anaongoza mpaka sasa hivi na Lowasa atashindwa uchaguzi!
inaandikwa kindergarten!
Afrika Kusini wamesema Dr.Pombe Magufuli anaongoza mpaka sasa hivi na Lowasa atashindwa uchaguzi!
The reporter did not do the necessary research required. She is misleading the public. Tanzania presidential elections do not have run-offsUkisikiliza vizuri tone ya reporter utagundua kuwa Lowasa anaongoza & kueleweka zaidi ya Magufuli.