HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
Afrika Kusini wamesema Dr.Pombe Magufuli anaongoza mpaka sasa hivi na Lowasa atashindwa uchaguzi!
mkuu kwenye mahusiano kati ya nchi na nchi kuna protocol sioni kama uko sahihi kwa swala hili nchi nyingine kuingilia uchaguzi wa taifa lingine uchaguzi unabaki kuwa ni wa tanzania waamue hatma ya nchi yao
Last edited by a moderator: