Lowassa will never win says South Africa

Lowassa will never win says South Africa

Wameanza kutumia mamruki na majeshi ya kukodi...
S.A wakumbuke kuwa sisi ndio wamiliki wa vichinjio.
 
Ndiyo maana mstahiki meya aliwahi kusema watu wanafikiri kwa..........

Afrika kusini ina nafasi gani ktk uchaguzi wa Tanzania hadi maoni yake ndiyo yawe uamuzi wa wananchi
 
Ndio tujue kuwa Watanzania wengi wetu ni wajinga na hatuna elimu...Mambo yetu ya ndani...Tuamuliwe na Utafiti kutoka nje...!!! IT MASAKI Bwana!!!CCM Itambue hamna marefu yasiyo na ncha..!!! Na mwisho wa CCM ndio mwaka huu!!!
 
Ndio tujue kuwa Watanzania wengi wetu ni wajinga na hatuna elimu...Mambo yetu ya ndani...Tuamuliwe na Utafiti kutoka nje...!!! IT MASAKI Bwana!!!CCM Itambue hamna marefu yasiyo na ncha..!!! Na mwisho wa CCM ndio mwaka huu!!!


Hilo somo unapaswa umpe fisadi Lowasa kwa maana mpaka leo hii tangu Kampeni zianze yeye peke yake ndiye aliyefanya mahojiano tena rasmi na TV za Nje ya nchi kama Kenya, tena hakuna TV ya ndani iliyopewa hiyo nafasi kama iliyopewa TV ya Kenya sasa hayo malalamiko yako inabidi uyaanzie kwa fisadi Lowasa kwanza kwani hakuna Mgombea wa CCM aliyefanya mahojiano na TV ya nje ya ardhi TZ hii yote ni kuonyesha jinsi
Dr.Pombe Magufuli anavyotujali watu wake,
wanayoripoti AK sisi hayatuhusu wao ndiyo wamesema kulingana na tafiti zao na wala siyo sisi!
 
Si ndio waliochapisha karatasi za kupigia kura? Wanajua wanachosema wasituvurugie uchaguzi kwa kuweka extra copies kwa mlango wa nyuma!!
 

Attachments

  • 1445270772286.jpg
    1445270772286.jpg
    49.5 KB · Views: 170
Who give the fck about what they say, are they voting ?
They should mind and care own fcking serious issues they have !!
 
Mtu anaongea kutoka Kenya anawaambia wasouth. Na sijasikia aliposema Lowassa can never win.
 
Back
Top Bottom