Ni kweli kabisa anavosema mh lowassa ukifatilia kwa makini ndio utagundua anachosema, ukirejea inayoitwa kashfa ya richmond wakati kina mwaykembe wanamshushia tuhuma lowassa ya kuitia hasara serikali rais kikwete kamtetea mbele ya wazee yalompata lowassa ni ajali ya kisiasa. Ukirudia vua gamba wakati nape mishipa ya shingo inataka kumtoka pamoja na kina chiligati msekwa na mukama na wakajiapiza baada ya siku 90 kama hajaondoka atafukuzwa ilipofika wakati wa maamuzi rais aliomba ushahidi dhidi ya lowassa alokuwa nao aulete nape akabaki kutoa macho kina chiligati na mukama msekwa wakavuliwa wao gamba mwenyekiti akalinda urafiki wake rudia kufungiwa kwa makada sita lakini mlengwa ni lowassa nape akawa anatumika kupiga kelele pamoja na viapo vya uongo kwamba lowassa anakiuka taratibu na anakiburi kuna uwezekano wa kuongezewa adhabu ulipofika wakati wa vikao hakukutwa na hatia yoyote na akaruhusiwa akagombee yote hiyo kazi ya rafiki yake laiti mwenyekiti angekuwa mangula na katibu nape lowassa asingekuwa mmoja wa mgombea na hata hiyo nguvu inayosemwa lowassa anayo ni kwa sababu rafiki yake anataka awe nayo.