chech number
Member
- Jun 28, 2015
- 47
- 5
Acha kujipendekeza unafikiri ukisema hivyo ndio cc haitalikata jina lako kwa kuwa eti ni rafiki wa jakaya Mkuu hakuna cha urafiki hapa
mkuu,ule usemi unao sema kilichokupandisha ndio hicho hicho kitakushusha
Mkuu tunakubali una mahaba na EL na ni haki yako..
Lakini hayo mameno aliyatoa Lowasa baada ya kusemwa na Rizone..
Urafiki utabaki kuwa Urafiki na NCHI ITABAKI KUWA NCHI!HAIWEZEKANI NCHI KUKABIDHIWA KWA RAFIKI SABABU NI RAFIKI,HUYU MZEE EL ATENGANISHE URAFIKI NA NCHI,NCHI NI YA WATU MORE THAN 45,000,000 LAKINI URAFIKI NI WA WATU WAWILI!haa haa lowasa amesema ukweli. jeuri yote ya lowasa ndani ya ccm inatokana na urafiki wa jk na kikwete. hakuna mwenye ubavu wa kumkemea lowasa ndani ya ccm kamwe. sio nape wala kinana..
Hili nilikuwa silijui
Kuongezea hapo ulipoishia Samuel sitta huyu huyu ndio mjumbe pekee wa NEC aliemvaa nyerere na kupambana nae vilivyo kwa hoja mkutanoni akimtaka mwalimu awape maelezo ya kina kwanini alishinikiza jina LA lowassa lisiletwe NEC kuja kupigiwa kura,licha ya ukali Wa nyerere alibanwa na sitta vilivyo kwenye eneo hilo.Nakumbuka 1998 kwenye Msiba wa Mzee Mrisho Kikwete, aliyekuwa akinawisha mikono waombolezaji kwenye Msiba walikuwa ni Samuel Sitta na Edward Lowassa na aliekuwa mwenyekiti wa Shughuli za Msiba alikuwa Rostam Abdurasul Aziz. Hawa jamaa wametoka Mbali sana Wizi na Uroho wa Madaraka ndo uliwaunganisha na vitu vivyo hivyo ndo vimewatofautisha
Kuongezea hapo ulipoishia Samuel sitta huyu huyu ndio mjumbe pekee wa NEC aliemvaa nyerere na kupambana nae vilivyo kwa hoja mkutanoni akimtaka mwalimu awape maelezo ya kina kwanini alishinikiza jina LA lowassa lisiletwe NEC kuja kupigiwa kura,licha ya ukali Wa nyerere alibanwa na sitta vilivyo kwenye eneo hilo.
Anajifaragua tu na kuwadanganya wasiojua. Tunaoujua ukweli, ukweli ni kwamba urafiki wao ulishakufa siku nyingi. Mara ngapi amejaribu kutaka kumwona JK pale ikulu na akakataliwa? Pia maongezi yaliyonaswa ya whatsapp kati ya Ridhiwani na rafiki yake mmoja wakati wa kampeni za Ubunge huko Chalinze maneno mazito aliyokuwa anayaongea Ridhiwani dhidi ya Lowasa ni ushahidi tosha kabisa kuwa familia ya JK na Lowasa ni paka na panya. Lowasa na kundi lake la akina Rostam na Chenge si ndo walianzisha move ya kumtoa Kikwete kwenye uenyekiti wa CCM ili wampe Lowasa nao ni ushahidi tosha kabisa kuwa urafiki wao ulishakufa. Aaache kutudanganya
wote si wanajua kitu kuhusu ile richmondwanabodi saalamu mujarabu kwenu
Akizungumza jana Bagamoyo alipokwenda
kutafuta wadhamini, Lowassa alisema,"Bagamoyo
ni nyumbani kwangu kwa pili, kwa sababu ni
nyumbani kwa Rais Jakaya Kikwete ambaye ni
rafiki yangu. Nataka niwaambie kuwa mimi na
Jakaya ni marafiki wakubwa, na urafiki wetu
utaendelea hadi Mwenyezi Mungu
atakapotuchukua."
SOURCE: Mtanzania, Jumatatu, 29.6.2015, Lead
story.
MY TAKE: Lowassa hapa anatuma ujumbe kwa
Kamati Kuu kwamba, Jakaya ambaye ni rafiki
yake mkubwa hivi, hawezi kukubali kuona jina
lake linakatwa, NI LAZIMA liingie katika tano
bora!
nawasilisha.
wanabodi saalamu mujarabu kwenu
Akizungumza jana Bagamoyo alipokwenda
kutafuta wadhamini, Lowassa alisema,"Bagamoyo
ni nyumbani kwangu kwa pili, kwa sababu ni
nyumbani kwa Rais Jakaya Kikwete ambaye ni
rafiki yangu. Nataka niwaambie kuwa mimi na
Jakaya ni marafiki wakubwa, na urafiki wetu
utaendelea hadi Mwenyezi Mungu
atakapotuchukua."
SOURCE: Mtanzania, Jumatatu, 29.6.2015, Lead
story.
MY TAKE: Lowassa hapa anatuma ujumbe kwa
Kamati Kuu kwamba, Jakaya ambaye ni rafiki
yake mkubwa hivi, hawezi kukubali kuona jina
lake linakatwa, NI LAZIMA liingie katika tano
bora!
nawasilisha.
Acha kujipendekeza unafikiri ukisema hivyo ndio cc haitalikata jina lako kwa kuwa eti ni rafiki wa jakaya Mkuu hakuna cha urafiki hapa