CRITON CAREEN
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 202
- 15
Edward Lowassa ameanza siasa za kilaghai,Hii imetokea jana usiku kwenye kikao alichokiongoza yeye mwenyewe nyumbani kwake Area D.
Lowassa ametueleza kuwa tuanze kueneza propaganda ya kilaghai dhidi ya mambo anayoyaona magumu kwake.
Baada ya kugundua kuwa hayuko karibu na Familia ya Rais Kikwete, ametueleza tuanze kueneza Taarifa kuwa yeye mwenyewe hukutana na Rais Kikwete usiku kila siku na agenda yao huwa ni moja tu "kumwachia urais" haya nayasema hapa maana jana nimekuwa kwenye kikao.
Lowassa anasisitiza tuhakikishe propaganda hii inaenezwa kwa gharama yeyote, maana ikirudiwa mara nyingi watu wataiamini, Lowassa umeanza siasa za kilaghai?
Tukiwa kwenye kikao tukajulishwa kuwa kikao cha namna hiyo kilikuwa kinafanyika Arusha,Hotel ya Mount Meru agenda ni hiyo moja tu,"kikwete anakutana na Lowassa kila siku usiku" umekuwa mchawi?.
Tukiwa hapa Dodoma tumekuja kwenye Harusi ya Mjumbe wa NEC inayofanyika hapa Dodoma,tukapata mwaliko huu.
Kikao cha Dodoma na Arusha vyote vimeazimia kuwa na kauli mbiu isemayo "SIMAMA UHESABIWE,HAKATWI MTU HAPA" kwahiyo iwaminishe watu kuwa Lowassa hawezi kukatwa jina.
Tukiwa kwenye kikao mimi na wenzangu tumeshangaa hatua za kilaghai zinazotaka kuchukuliwa na Jamaa huyu.
Kwanini anataka kumchafua Rais?
Kwanini anataka kutumia jina lake kwa kufanikisha mambo yake?
Je Lowasaa amejua kuwa atakatwa jina kwahiyo anajihami?
Lowassa ameona anashindwa sasa au ameishiwa mbinu?
Pole sana Lowassa kikao cha usiku Dodoma na Arusha ni ishara mbaya kuwa unaelekea kuangukia pua.
Yawn wewe no muongo uliyekubuhu, hakuna kikao kama hicho kilichopata kifanyika, mbona ukimya wa huyu mzee unawatikisa kengere zenu kila kukicha.. Na kwa taarifa yako, cc watanzania tunamuhitaji LOWASA na sio hayo matapishi yenu mnayotaka kutuaminisha