Wa nyangere
Member
- Aug 7, 2014
- 27
- 4
Watu hawaachiani uraisi, unacho weza kumuachia mwenzio Ni viatu na mashati,raisi anachaguliwa na watu ,so I don't think hizi mbinu will prove anything. Kama m2 Hafai Hafai tu.
tanzania bila lowasa haiwezekani
Toa umbea wako hapa jukwaani wewe, mimi ni mmoja wa karibu wa lowassa hakuna kikao chochote tulichokaa arusha huo uppuzi wako ukiwa moja ya agenda.
Pili hatujawahi kukaa mount meru hotel kwa ajili ya strategies za bwana lowassa. Mbona nyie huko dodoma mlikaa nyumbani kwake na si dodoma hotel????? Hii in prove we ni idiot kiasi gani
Toa umbea wako hapa jukwaani wewe, mimi ni mmoja wa karibu wa lowassa hakuna kikao chochote tulichokaa arusha huo uppuzi wako ukiwa moja ya agenda.
Pili hatujawahi kukaa mount meru hotel kwa ajili ya strategies za bwana lowassa. Mbona nyie huko dodoma mlikaa nyumbani kwake na si dodoma hotel????? Hii in prove we ni idiot kiasi gani
Wengine eti "EL kujiondoa mbio ......." Wengine ni Kama Huyu. Wengine mara EL ka. ...... afya. Wengine eti katoa laki mbili.
Piganeni, yetu macho. Lakini namwona Dr Yuleeeeeee na timu yake taratibu wanaelekea IKULU.
Wengine eti "EL kujiondoa mbio ......." Wengine ni Kama Huyu. Wengine mara EL ka. ...... afya. Wengine eti katoa laki mbili.
Piganeni, yetu macho. Lakini namwona Dr Yuleeeeeee na timu yake taratibu wanaelekea IKULU.
Mtoa mada ni Mzushi na Mzandiki.... Lowasa hana muda wa kuandaa Vikao na Wajinga kama wewe..
.
Dr wa Maandamano..
Lowasa Rais wa Tanzania kuanzia 2015 to 225.
Mmmmh kumbe.........?Eti LOWASSA Eti..... Awe Rais nahamia Somali nikaishi mogadishu
Anza kuhama mapema....
Wasira Yes wengine No....
Lowassa jua tuko dodoma na tunajua unacho kifanya acha ujinga jua huwezi kuwa rais na katubu zambi zako maana umekula hela ya wavuja jasho watanzania. Laana iko juu yako na wanao kufuata nao wame laaniwa.
Huyo akienda kucheck La Liga atarushiwa ndizi.
Ntake msitake Lowasa ndio rais wa Tanzania baada ya Kikwete
Wasira Yes wengine No....
lo makubwa! mkuu naona unampinga hata swahiba wako Chabruma! Lowasa ni shidaaaaa! ameweza kuwagawa hata magamba!