BIG RESULTS NOW
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 673
- 36
Naomba ujibu hoja za msingi.niko huru si mwanamtandao wenu.ukiwa huru raha sana.
Hoja zipi za msingi unataka ujibiwe? Hizi za kuwaita watu wapuuzi? Hivi ndugu huwezi kuunganisha dots japo kidogo tu kujua nani anahusika na Richmond mpaka Lowasa akutajie? Tuliokuwa jikoni tunajua ishu hii ni propaganda chafu na tumeshaishinda tayari kwa uwezo wa Mungu. Tunavuta muda tu kihakikisha ndoto ya watanzania kupata maendeleo ya kweli inatimia.