Lowassa,Tutalivuka daraja

Lowassa,Tutalivuka daraja

I think ni zamu ya Zanzibar kutawala!!! I stand to be corrected!

Kivipi? Katiba ndo inasema kua tuwe na zamu ya kutoa marais kwa mtindo unaosema wewe? Hebu chanika kidogo kama sio Gongolamboto
 
Aliyekwambia nina hasira nani!? Acha kukurupuka banaaa!!! Mtu kama hafai basi hafai tu.

Kwa maoni yako nani anafaa?kama hafai ni kwako ila kwa wengine anafaa!
 
Kwa maoni yako nani anafaa?kama hafai ni kwako ila kwa wengine anafaa!

Atakuwa anamgombea wake wa mfukoni amemtuma kusoma upepo humu
Ila arudi akamwambie ajaribu fb,humu ni wazee wa busara tu
 
Muda wa mpeni kura a ndio bado!, issue ni jee ni kweli atasisimama?!
Na akisimama atapitishwa?!.

Mara ngapi tumeshuhudia kwenye ule upepetaji, "mchele" ndio unaachwa, wanachukua "chuya!",

Jee this time around, watakubali kusimamisha nguzo imara ya mpingo, mninga au mvule, au wataendelea kutegemea mabua?!.

Ila pia lazima tukubali tukatae, afya ya mtarajiwa wetu ni issue!, najihiisi inawezekana ni mimi tuu na wachache sana kama mimi, ndio tunatambua kwa hakika, kuwa tegemeo hilo ndilo silo, huyu ni Yohana Mbatizaji tuu, akiyanyyoosha mapito yake yule yuajaye!.

Pasco

Mkuu nimekupata vema. Umetumia falsafa ya maneno ambayo kwa macho ya kawaida yawezekana yasisomeke, ila huyu kweli ni YOHANA......!
 
kuna mwana CCM mmoja juzi aliniambia lowassa yu hoi kiafya hivyo tusimtarajie ktk kinyang'anyiro cha kuusaka urais.ilisema huo ni ushindi mkubwa kwa kambi ya kina membe kwani wamesha umaliza mtandao wake ndio hatumsikii tena.
 
kuna mwana CCM mmoja juzi aliniambia lowassa yu hoi kiafya hivyo tusimtarajie ktk kinyang'anyiro cha kuusaka urais.ilisema huo ni ushindi mkubwa kwa kambi ya kina membe kwani wamesha umaliza mtandao wake ndio hatumsikii tena.

Mkuu nyosha tu maneno kuwa wewe ni kati ya wale wanaombea Lowassa mabaya wala usiseme kuna jamaa aliyekuambia,na najiuliza tu kwann ifikie mahali umwombe binadamu mwenzako mabaya??ila kikwetu mi naamini ukimwombea binadam mwenzako mabaya badala ya yeye kupata hayo mabaya yatakurudia wewe uliyomwombea,Membe anajuwa kabsa Lowassa siyo size yake,Membe anatakiwa akachuane na wakina januari siyo lowassa huyu tunayemfahmu amuulize baba mwanaisha mziki wa mamvi
 
kuna mwana CCM mmoja juzi aliniambia lowassa yu hoi kiafya hivyo tusimtarajie ktk kinyang'anyiro cha kuusaka urais.ilisema huo ni ushindi mkubwa kwa kambi ya kina membe kwani wamesha umaliza mtandao wake ndio hatumsikii tena.

Kuna rais wa Algeria juzi kachaguliwa akiwa kwenye kiti cha wagonjwa hawezi kutembea sembuse lowassa? Tutamchagua hivyo hivyo akafie magogoni tuzike!!
 
Ujue kuwa bado hata hajalikaribia. Hujamalizia msemo wake... When we reach there. Na mafuriko na mvua hizi kutokana na mabadiliko ya tabia nchi asishangae asipolikuta daraja

huyu Jamaa, lazima atachojoa aogelee
 
Kuna rais wa Algeria juzi kachaguliwa akiwa kwenye kiti cha wagonjwa hawezi kutembea sembuse lowassa? Tutamchagua hivyo hivyo akafie magogoni tuzike!!

Mkuu huogopi kunyofokewa kucha na macho na yule mzee wa joka la mdimu!duh aise naona umejitoa muhanga
 
Kuna rais wa Algeria juzi kachaguliwa akiwa kwenye kiti cha wagonjwa hawezi kutembea sembuse lowassa? Tutamchagua hivyo hivyo akafie magogoni tuzike!!

mkuu kwa jinsi hali ilivyo hivi sasa,ni kama EL ameshapotezwa.nikuulize, unamsikia tena siku hizi?!.watu waliunganisha mguvu kuhakikisha wanampoteza kabisa mzee wa watu ktk siasa.ni kama tayari wameshashafanikiwa.na hili la ugonjwa ndio kabisa limekuja kutibua ndoto yake.mungu amponye haraka raisi wetu mtarajiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom