OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
- Thread starter
- #81
mkuu kwa jinsi hali ilivyo hivi sasa,ni kama EL ameshapotezwa.nikuulize, unamsikia tena siku hizi?!.watu waliunganisha mguvu kuhakikisha wanampoteza kabisa mzee wa watu ktk siasa.ni kama tayari wameshashafanikiwa.na hili la ugonjwa ndio kabisa limekuja kutibua ndoto yake.mungu amponye haraka raisi wetu mtarajiwa.
Mkuu Ccm hawana ujanja wa kumpoteza Mr mamvi
Lowassa ndiye mwenye uwezo wa kuipoteza ccm,hivi hujiulizagi kwann lowassa amenyamaza kimya?hukumbuki kipindi flani kwenye vikao vya dodoma lowassa alivyotaka kumchana jk kuhusu richmond mzee mkapa akaingilia?kma siyo busara za mzee mkapa leo tungekuwa tumeitisha uchaguzi mwingine