wadau!
Hii ni kauli ambayo mh lowassa amekuwa akiitoa mara kwa mara pindi tu anapoulizwa kama atatupa karata yake kweny mbio za urais,
Kauli hii imekuwa ikiwakosesha usingizi wapinzan wake mpaka kupelekea kuhaha huku na kule kutafuta namna gani ya kuweza kumdhibiti bila mafanikio
Lowassa hakuishia hapo januar mwaka aliwamakliza zaidi wapinzani wake alipokuja na misemo miwili ya kufungulia mwaka,wakwanza ulisema ''Safar ya matumaini''wapili ni ule uliosema ''Simama uhesabiwe''misemo hii imekuwa mwiba kwa wapinzan wake mpaka ilipelekea lowassa kupewa barua ya onyo,je misemo tu inaweza ikasababbisha mtu kupewa barua?
Lowassa kwa jinsi hali ilivyo amekosesha furaha na usingiz mahasimu wake ndani ya chama cha mapinduzi,nimekuwa nikijiuliza kama tu misemo aliyo ianzisha inawatesa kias hiki je siku akianza kufunguka itakuwaje?
Wameanza kuogopa kivuli cha lowasa siku picha yake halisi ikianza kuonekana itakuwaje?
Mpka tufike kweny uchaguzi MZEE WA MISEMO TATA ATAWATESA SNA WAPINZANI WAKE
Nimeona kwa maadili ulinayo nayo hupaswi kuwa humu ndani
Fb panakufaa kabsa
Wee ni kinda sana kuhoji maadili yangu...naweza kuwa baba yako! Ama baba wa unayempigia zumari ambaye thamani yako itaisha baada ya kumchagulia wimbo!
Kama humpendi lowassa wewe si mzalendo na hupendi maendeleo ya Tz
siwez nikawa na baba mwenye akili matope kama wewe!
Umejiunga JF kutukana watu ama kumkampenia Lowasa?
Umejiunga JF kutukana watu ama kumkampenia Lowasa?
Mkuu Ben, wakati muafaka ukifika, ya Richmond, yatawekwa wazi, mtamjua mwenye mzigo ni nani na nani alikuwa mbebaji tuu!.Hebu atoe majibu Kuhusu RICHMOND huko badala ya kujifanya mwanasiasa anayetaka urais.
mkuu lowassa ahitaji kukampeniwa,Lowassa anasubiri muda wa baba riz wa kupangisha magogoni uishe azame ndichi
mkuu Lowassa ni zaidi ya unavyofikiri!!
Mkuu Ben, wakati muafaka ukifika, ya Richmond, yatawekwa wazi, mtamjua mwenye mzigo ni nani na nani alikuwa mbebaji tuu!.
Ila pia bongo politics ni very unpredictable!, maadam hata huko uliko bado hamna mgombea yoyote wa kuweza kuwaleta ushindi kwa 2015, nakushauri be prepared!. Take a close look ya viongozi wako wakuu, wanasema nini kuhusu mtu huyu!.
Kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, only a common interest!.
Pasco
Hana lolote fisadi huyu amekuwemo ndani ya Serikali tangu awamu ya kwanza mpaka ya nne, hakuna chochote alichokifanya kuwanufaisha Watanzania zaidi ya kujinufaisha yeye na familia yake kifisadi. Eti huyu naye anastahili kupewa ridhaa na Watanzania kuiongoza nchi!!!! Duh!!!! Kwa mafanikio gani aliyokuwa nayo kama kiongozi?
Hana lolote fisadi huyu amekuwemo ndani ya Serikali tangu awamu ya kwanza mpaka ya nne, hakuna chochote alichokifanya kuwanufaisha Watanzania zaidi ya kujinufaisha yeye na familia yake kifisadi. Eti huyu naye anastahili kupewa ridhaa na Watanzania kuiongoza nchi!!!! Duh!!!! Kwa mafanikio gani aliyokuwa nayo kama kiongozi?
mkuu punguza hasiraLa msingi nikutoa tu ushirikiano lowassa anakwenda kuwa rais wa nchi hata watoto wadogo niliwakuta wakiimba lowasa lowasa
mkuu punguza hasira
La msingi nikutoa tu ushirikiano lowassa anakwenda kuwa rais wa nchi hata watoto wadogo niliwakuta wakiimba lowasa lowasa
Mkuu Ben, wakati muafaka ukifika, ya Richmond, yatawekwa wazi, mtamjua mwenye mzigo ni nani na nani alikuwa mbebaji tuu!.
Ila pia bongo politics ni very unpredictable!, maadam hata huko uliko bado hamna mgombea yoyote wa kuweza kuwaleta ushindi kwa 2015, nakushauri be prepared!. Take a close look ya viongozi wako wakuu, wanasema nini kuhusu mtu huyu!.
Kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, only a common interest!.
Pasco
Aliyekwambia nina hasira nani!? Acha kukurupuka banaaa!!! Mtu kama hafai basi hafai tu.
Mkuu pasco
ntakushangaa sna kwa maelezo unayo mpa ben!huitaji kumwambia chochote acha ajionee muda ukifika!
hyu dogo anajidai mpinzani lakin ikija habar ya membe humu ndani utaona anavyohaha kumpigia debe lakin naanza kuamini kuwa yule jamaa aliyesemaga humu ndani beni amekuwa akitumika na membe kutoa siri za chama chake zina ukweli,mdogo wangu ben njaa yako embu jaribu kupeleka taratibu,ila nahisi hii njaa yako imefunga turbo