Lowassa,Tutalivuka daraja

Lowassa,Tutalivuka daraja

Mkuu Pasco,

Kwa kuwa Ben Saanane hafuati Mkumbo ,msimamo wa hao walioitwa viongozi wakuu kuhusu mtu huyo utakua msimamo wao binafsi na ukitolewa kama msimamo rasmi wa chama ni lazima upitie kwenye vikao ambavyo mimi nitakua mjumbe kinyume na hapo itakua ni mambo mengine ya kisiasa au nje ya siasa ,aidha kama nitakua mjumbe kwenye kikao au kama nitakua nje....

Huu ni msimamo wangu binafsi,nipo imara kweli kweli hapa.Sitanii...!

Nakupongeza kwa misimamo, mimi nasubiria kwa hamu jinsi "jiwe walilolikataa waashi, litakavyofanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!.
Pasco
 
Jamaa yupi?Unakuja na ID nyingine na kujifanya eti yule Jamaa.You're such a Twerp.Ni wapi nilikotoa siri za CHADEMA.Ningekua namsifia Membe ningemstahi kwa lugha zake za kijinga Bungeni Recently na pia kuruhusu Masele kutoa Reckless statements ambazo zinamfanya akimbie Kimbie .Nasikia ana ziara ya Uingereza kwenda kuomba Msamaha Kule Westminster

Nisichopenda ni siasa chafu dhidi ya mtu yeyote na hata Lowassa nilimtetea kuwa adhabu yake ya kufungiwa mwaka mmoja na chama chake kwa tuhuma za kufanya kampeni mapema ni uonevu maana kama msingi wa adhabu ulikua ni kauli ya EL New Year kule Monduli hakuna mahali precisely alikosema anagombea Urais

Hakuna Ushahidi.Na nilihoji iweje EL aadhibiwe halafu Sitta aachwe wakati wote walifanya kitu hicho hicho kupita Makanisani na Misikitini?

Hivyo hivyo nikaomba Ushahidi juu ya tuhuma za Membe kuomba Fedha Uarabuni kama nilivyoomba ushahidi wa Perfomance ya Migiro kule UN,Prof.Tibaijuka kule UNHABITAT na kutaka kujua iwapo kama Magufuli anaaminika kufuatia Tuhuma ambazo hajakanusha za Kumuuzia kimada Nyumba alipokua Waziri wakati wa Mkapa katika uuzaji wa Nyumba za serikali kama nilivyohoji weledi wa Mwakyembe katika Sheria alipofikia hatua ya Kuficha baadhi ya Mambo katika ripoti ya kamati teule ya Bunge kuhusu sakata la RICHMOND.Nilihoji uzalendo wake kwa kutumia logic.Yote yapo humu JF.

Acha kuweweseka wewe
Unatutoa kwenye mada
kama ni issue ya id wew ndio bingwa wa kuwa na id fake nyingi hata moderator anatambuwa hilo usifikir mods hawajui lakin iko siku utaumbuka mchana wew mchumia tumbo wa ufipa
Hilo la membe unajikanyaga kanyaga tu lakini nashangaa hicho chama bado wanakuvumilia kwa kuendelee kukuendekeza huku ukiendelea kutoa siri za chama kwa membe
punguza njaa wew,kwann usifnye kaz na una nguvu
 
Jamaa yupi?Unakuja na ID nyingine na kujifanya eti yule Jamaa.You're such a Twerp.Ni wapi nilikotoa siri za CHADEMA.Ningekua namsifia Membe ningemstahi kwa lugha zake za kijinga Bungeni Recently na pia kuruhusu Masele kutoa Reckless statements ambazo zinamfanya akimbie Kimbie .Nasikia ana ziara ya Uingereza kwenda kuomba Msamaha Kule Westminster

Nisichopenda ni siasa chafu dhidi ya mtu yeyote na hata Lowassa nilimtetea kuwa adhabu yake ya kufungiwa mwaka mmoja na chama chake kwa tuhuma za kufanya kampeni mapema ni uonevu maana kama msingi wa adhabu ulikua ni kauli ya EL New Year kule Monduli hakuna mahali precisely alikosema anagombea Urais

Hakuna Ushahidi.Na nilihoji iweje EL aadhibiwe halafu Sitta aachwe wakati wote walifanya kitu hicho hicho kupita Makanisani na Misikitini?

Hivyo hivyo nikaomba Ushahidi juu ya tuhuma za Membe kuomba Fedha Uarabuni kama nilivyoomba ushahidi wa Perfomance ya Migiro kule UN,Prof.Tibaijuka kule UNHABITAT na kutaka kujua iwapo kama Magufuli anaaminika kufuatia Tuhuma ambazo hajakanusha za Kumuuzia kimada Nyumba alipokua Waziri wakati wa Mkapa katika uuzaji wa Nyumba za serikali kama nilivyohoji weledi wa Mwakyembe katika Sheria alipofikia hatua ya Kuficha baadhi ya Mambo katika ripoti ya kamati teule ya Bunge kuhusu sakata la RICHMOND.Nilihoji uzalendo wake kwa kutumia logic.Yote yapo humu JF.[/QUOTE

Mkuu saa nane
Kwa hili la id nyingi kwakweli unahitaji pongezi
Wala siyo unasingiziwa.
 
Kumbe tatizo la nchi hii si ccm ila ni nani katoka wapi dini gani (mana watu wanajisahaulisha kuhusu Richmond na ufisadi mwingi alioufanya)
 
Mkuu Pasco,

Kwa kuwa Ben Saanane hafuati Mkumbo ,msimamo wa hao walioitwa viongozi wakuu kuhusu mtu huyo utakua msimamo wao binafsi na ukitolewa kama msimamo rasmi wa chama ni lazima upitie kwenye vikao ambavyo mimi nitakua mjumbe kinyume na hapo itakua ni mambo mengine ya kisiasa au nje ya siasa ,aidha kama nitakua mjumbe kwenye kikao au kama nitakua nje....

Huu ni msimamo wangu binafsi,nipo imara kweli kweli hapa.Sitanii...!

et unamsimamo wewe mlamba miguu yq slaa
 
Last edited by a moderator:
Kumbe tatizo la nchi hii si ccm ila ni nani katoka wapi dini gani (mana watu wanajisahaulisha kuhusu Richmond na ufisadi mwingi alioufanya)

Suala la udini wewe ndiye unataka kuanzisha
Ila tunaomba siyo lazma uchangie uzi huu unaweza ukalala manake hata hivyo ni usiku
Kamwe hatutakubali utupotoshe,watanzania ni wamoja
 
Suala la udini wewe ndiye unataka kuanzisha
Ila tunaomba siyo lazma uchangie uzi huu unaweza ukalala manake hata hivyo ni usiku
Kamwe hatutakubali utupotoshe,watanzania ni wamoja

Mmeanza tena udini?mbna mapema sana
 
HAKUNAGA,KAMA LOWASA NDANI YA JUYA LA CCM ANAYESTAHILI KUGOMBEA URAIS 2015 !!!
Yeyote bila msaada wa Mungu ni Vituko.
 
Jamaa yupi?Unakuja na ID nyingine na kujifanya eti yule Jamaa.You're such a Twerp.Ni wapi nilikotoa siri za CHADEMA.Ningekua namsifia Membe ningemstahi kwa lugha zake za kijinga Bungeni Recently na pia kuruhusu Masele kutoa Reckless statements ambazo zinamfanya akimbie Kimbie .Nasikia ana ziara ya Uingereza kwenda kuomba Msamaha Kule Westminster

Nisichopenda ni siasa chafu dhidi ya mtu yeyote na hata Lowassa nilimtetea kuwa adhabu yake ya kufungiwa mwaka mmoja na chama chake kwa tuhuma za kufanya kampeni mapema ni uonevu maana kama msingi wa adhabu ulikua ni kauli ya EL New Year kule Monduli hakuna mahali precisely alikosema anagombea Urais

Hakuna Ushahidi.Na nilihoji iweje EL aadhibiwe halafu Sitta aachwe wakati wote walifanya kitu hicho hicho kupita Makanisani na Misikitini?

Hivyo hivyo nikaomba Ushahidi juu ya tuhuma za Membe kuomba Fedha Uarabuni kama nilivyoomba ushahidi wa Perfomance ya Migiro kule UN,Prof.Tibaijuka kule UNHABITAT na kutaka kujua iwapo kama Magufuli anaaminika kufuatia Tuhuma ambazo hajakanusha za Kumuuzia kimada Nyumba alipokua Waziri wakati wa Mkapa katika uuzaji wa Nyumba za serikali kama nilivyohoji weledi wa Mwakyembe katika Sheria alipofikia hatua ya Kuficha baadhi ya Mambo katika ripoti ya kamati teule ya Bunge kuhusu sakata la RICHMOND.Nilihoji uzalendo wake kwa kutumia logic.Yote yapo humu JF.
Mkuu Ben naunga mkono hoja!.Ila pia ningependa hizo hojaji, ziziishie upende mmoja tuu, naomba uendelee kuhoji weledi na uadilifu wa hawa viongozi wetu wote regardless uko upande gani and not a cherry picking!.

Ni hilo tui.
Pasco
 
Mpeni kura za ndio Lowasa
Muda wa mpeni kura a ndio bado!, issue ni jee ni kweli atasisimama?!
Na akisimama atapitishwa?!.

Mara ngapi tumeshuhudia kwenye ule upepetaji, "mchele" ndio unaachwa, wanachukua "chuya!",

Jee this time around, watakubali kusimamisha nguzo imara ya mpingo, mninga au mvule, au wataendelea kutegemea mabua?!.

Ila pia lazima tukubali tukatae, afya ya mtarajiwa wetu ni issue!, najihiisi inawezekana ni mimi tuu na wachache sana kama mimi, ndio tunatambua kwa hakika, kuwa tegemeo hilo ndilo silo, huyu ni Yohana Mbatizaji tuu, akiyanyyoosha mapito yake yule yuajaye!.

Pasco
 
Adhabu Yao inaisha lini! Tuanze kuona vioja na rafu za siasa! Vipi suala la katiba na usanii wa ccm!
 
Mkuu Ben naunga mkono hoja!.Ila pia ningependa hizo hojaji, ziziishie upende mmoja tuu, naomba uendelee kuhoji weledi na uadilifu wa hawa viongozi wetu wote regardless uko upande gani and not a cherry picking!.

Ni hilo tui.
Pasco

Pasco,

Asante Mkuu .Huku upande Mwingine huwa ninahoji kwenye vikao kwa kufuata katiba,kanuni na Taratibu.Siachi hata kidogo,ninahoji.
 
Last edited by a moderator:
Jamaa yupi?Unakuja na ID nyingine na kujifanya eti yule Jamaa.You're such a Twerp.Ni wapi nilikotoa siri za CHADEMA.Ningekua namsifia Membe ningemstahi kwa lugha zake za kijinga Bungeni Recently na pia kuruhusu Masele kutoa Reckless statements ambazo zinamfanya akimbie Kimbie .Nasikia ana ziara ya Uingereza kwenda kuomba Msamaha Kule Westminster

Nisichopenda ni siasa chafu dhidi ya mtu yeyote na hata Lowassa nilimtetea kuwa adhabu yake ya kufungiwa mwaka mmoja na chama chake kwa tuhuma za kufanya kampeni mapema ni uonevu maana kama msingi wa adhabu ulikua ni kauli ya EL New Year kule Monduli hakuna mahali precisely alikosema anagombea Urais

Hakuna Ushahidi.Na nilihoji iweje EL aadhibiwe halafu Sitta aachwe wakati wote walifanya kitu hicho hicho kupita Makanisani na Misikitini?

Hivyo hivyo nikaomba Ushahidi juu ya tuhuma za Membe kuomba Fedha Uarabuni kama nilivyoomba ushahidi wa Perfomance ya Migiro kule UN,Prof.Tibaijuka kule UNHABITAT na kutaka kujua iwapo kama Magufuli anaaminika kufuatia Tuhuma ambazo hajakanusha za Kumuuzia kimada Nyumba alipokua Waziri wakati wa Mkapa katika uuzaji wa Nyumba za serikali kama nilivyohoji weledi wa Mwakyembe katika Sheria alipofikia hatua ya Kuficha baadhi ya Mambo katika ripoti ya kamati teule ya Bunge kuhusu sakata la RICHMOND.Nilihoji uzalendo wake kwa kutumia logic.Yote yapo humu JF.
ben umekua mkweli kaka ktk hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom