PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,182
Jana katika mkutano mkuu wa chadema Lowasa alisema atachukua ushindi asubuhi tu hiyo tarehe 25 oct, asubuhi maana yake kabla ya saa sita mchana atakuwa ameshatangaza ushindi, sasa kura zitapigwa kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni, sasa hiyo asubuhi zitakuwa zimehesabiwa saa ngapi? au kura zinapigwa online?
ya kikwete,na nape nauye ndio ziko sawa?
Tuambie Rais alikua ana manisha nini kusema ccm ina maarifa ya ushindi?
Nape ccm itashinda hata kwa goli la mkono?
Jibu kwanza haya,