Nachingwea
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 261
- 110
Lowassa ni mzee wa kipekee ni kama Yesu pale msalabani
mkuu kuongoza nchi kunahitaji busara na hekima na sio kukurupuka na kupiga pushapu
lowassa ana hekima na busara
daktari bingwa wa marekani Ben Carson aka mtanzania/mkenya alisema madaktari wengi marekani wana ujuzi wa hali ya juu na teknologia lakini wachache wana hekima