Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Yaani KIMARIO ningeshangaa kama usingeandika hivyo.Akina KIMARIO mnampenda sana Lowasa sisi wengine akina Mwakidodile tukiwaambia hapiti mnaweza tupiga mawe

Lowasa ni mtu wa watu si lazima uwe kidodile hapana yeye haangalii mambo ya kidodile hata ungekua nani lowasa anampenda kila MTU
 
Hakuna UBISHI ushindi ni wa nywele nyeupe, roho nyeupe, njia nyeupe na Ikulu nyeupe. Lowassa............................
 
Yaani KIMARIO ningeshangaa kama usingeandika hivyo.Akina KIMARIO mnampenda sana Lowasa sisi wengine akina Mwakidodile tukiwaambia hapiti mnaweza tupiga mawe
Mkuu kuna bandiko lako umeliweka ni reeeeeeeefu nilidhani wewe ni mchambuzi kumbe ni walewale buku 7. Na hii wiki naona mtachafua sana Jukwaa mana mshapoteana
 
Yaani KIMARIO ningeshangaa kama usingeandika hivyo.Akina KIMARIO mnampenda sana Lowasa sisi wengine akina Mwakidodile tukiwaambia hapiti mnaweza tupiga mawe

Tukiwaambia ccm ni wakabila na wadini mnaruka kama mmekalia......Sasa mambo haya yanatoka wapi kama siyo kuwagawa watu kwa ukabila nataka nikwambie Mtz yoyote anahaki ya kuongoza kama mkwele na familia yake walivyopewa kuongoza nchi hii
 
Kila ninapopita kila ninaposikia kila ninaposikiliza kila ninapoangalia namwona lowasa akienda kupigiwa kura na makundi yote si wazee si vijana si wanawake kila mmoja ameapa kumpigia lowasa kura ya urais si mijini si vijijini kote wanamwona lowasa kua ni rais wao

kama kelele zinapiga kura basi ndie mshindi....
 
Yaani KIMARIO ningeshangaa kama usingeandika hivyo.Akina KIMARIO mnampenda sana Lowasa sisi wengine akina Mwakidodile tukiwaambia hapiti mnaweza tupiga mawe

Wewe umeoa kwetu, ila sisi hatuna ukabila tutamchagua Lowassa Kama tulivyo mchagua Kikwete
Leo nawahi nimsikie live Mtuhumiwa Lowassa, ili nimchague kwa manufaa ya Taifa langu.. Kyela mpya yaja..
 
LOWASA ndo raisi wetu mtarajiwa hakuna mwenye uwezo wa kupinga.
 
Kama nchi ni mashamba yale waliochukua wakina sumaye mvomero au zile ranchi za taifa alizojimilikisha lowasa ndio nchi kweli nchi mmeshachukua

Lakin kama nchi ndio jamhuri ya muungano wa tanzania
Ishachukuliwa zamani sana na rais n magufuli
So lowasa out!!!
 
hilo halina ubishi kura za mh lowasa atazipata kutoka kwa wazee ambao ana historia nao ,vijana ana historia na wamama ana historia nao walianza pamoja miaka hiyo na makundi mengine hawa nao wana historia nao sana katika siasa za nchi hii ,
 
Habari wanaJF katika hali isiyo ya kawaida kuna kikao cha CCM kimekutana na kujadili hali ya uchaguzi kwa maamuzi na mabishani ya hapa na pale ,wakijadiliana kwanini washindwe uchaguzi huu ,baadhi ya wanamkutano hao walidai makosa watende wengine dhambi tubebeshwe wengine ,wakimaanisha Magufuli hakuwa katika listi ya wanaCCM wenye kurahisisha kazi za ushindi hata kama wananchi wanadai kuiondosha CCM ,kosa tulilofanya ni kumuondoa Lowasa katika hatua za mwanzoni kabisa ,alidai mmoja wao ,huku akijibiwa kosa limeshatendwa sasa tufanyeje kwani hatuwezi kuirudisha hali hio na kuisahihisha ,maji yameshamwagika.

Katika hali isiyo ya kawaida kiongozi mmoja anaeheshimika sana aliamua kufunga mkutano huo kwa kusema tuna hali ngumu sana kwani kupita kwa magufuli ni kama kungojea mvua kwenye jua kali ila ya mungu ni mengi .huku akisema kwa huzuni kuwaasa wenzake ,kama kushindwa basi tumeshashindwa tusilete vurugu kwani kutazidi kuharibika katika macho ya kimataifa ambayo yanaikodolea macho nchi yetu.

Tumkubali Lowasa na tujaribu kurudisha urafiki kwani bado ni mapema kumtabiria ,mwengine mwenye hasira aliinuka na kusema inamaana Lowasa tumeshampa ushindi ,akajibiwa wananchi ndio watakaompa ushindi na chaguo la wengi ni chaguo la Mungu hatuwezi kushindana nalo.

Hayo ndio machache ila kuna mengi ambayo yamejificha kuhusiana na ushindi wa Lowasa ambao CCM wameishaukubali kisirisiri.

Iliyobaki ni kukaa mita 200 kuzuia malori yanayowahamisha miccm na kuvamia kituo ili kupiga kura za wizi. Kituo hakitazidi watu 500 na majumuisho hayatazidi idadi ya walioandikishwa ,pia mbali ya UKAWA kuna wanaCCM lukuki ambao kura zao sio kwa UKAWA bali wanampa Lowasa.
 
Hili halina ubishi, ndio hali halisi. Magufuli anafanya haya hapa: 1. Kubeba wananchi kwenye malori 2. Wasanii kwenye mikutano yake. Yote hayo huwavutia wananchi!

Lowassa hafanyi hata mojawapo hapo, lakini mahaba anayopewa ni nouma. Pamoja na Magufuli kufanya hayo bado ameendelea kusubiri kwa Lowassa!

Dakika za lala salama Lowassa ni 81% Magufuli 17% Others 2% !

Tukutane Jumapili!
 
Soma hapa
Mwenyekiti wa chadema amesema ya kwamba Chama chake ,,hakitakubali matokeo kama yakiwa yamepikwa", huwo usemi wa Bw.Mbowe unamaanisha nini? Ni kwamba liwalo na liwe ukawa wameshajipanga kukataa matokeo kwa maana unaposema hatutakubali matokeo yakiwa yamepikwa hivi kwenye nchi inayoendelea na masikini kama TanZania unawezaje kuwa na 100% free and fair elections?

Ndiyo maana siku zote hata wasimamizi wa kimataifa husema kwamba "a part from minor irregularities the alection was free and fair" ukiachilia mambo madogo madogo kama kuchelewa kufika kwa sanduku la kura au kituo kuchelewa kufunguliwa uchaguzi ulikuwa huru na wa haki!

Hivyo nasema Serikali ijiandae vizuri dhidi ya hawa mafisadi kwani wameshadhamiria kufanya chochote ili kushinikiza kuwa sehemu ya Serikali ijayo na kama watu watalemazwa au kufa haijalishi maadamu hakuna raia wa KLM atakayeumizwa kwani Moshi hakuna maandamano!
 
Mkuu kama jina lako lilivyo hii post ni mwiba mkali kwa ccm.
 
Tumekuelewa
haya maneno tulikua tunaambiwa watanzania alafu sijui tukalishwa nini nakubadilishiwa maneno nayo tukayaamini na kuyasahau haya, hivi ni kweli jamani wote tukafuata bichwa la mtu mmoja alie uza chama!? kama ni kurogwa mwambieni mganga hakumaliza dawa mimi haijaniingia wa magufuli haijamuingia
 
Back
Top Bottom