Unga Unga eeh? Hata post yenyewe ya kuunga unga. Sasa ulitegemea Mbowe akwambie nini? Kwamba Tanzania Bila CCM haiwezekani?Nimeawasili Hapa Muda Huu Na Kuongea Na Mwenyekiti Wa Vyama Vinavyunda Umoja Wa Katiba Ya Wananchi Ukawa, Nimegundua Tanzania Bila Ccm Inawezekana!
Ukweli kwamba Lowasa atashinda uchaguzi Mkuu ujao hauna pingamizi wala si wakutilia shaka ,sasa ninalowashauri ndugu zangu wa CCM haswa Magufuli na wenzake waliobakia kuwa wasalimu amri tu ,wasisubiri kuadhirika wakubali wameshindwa na haina haja ya kuendelea na kampeni.
Lowasa amekwisha shinda tena yupo mbali sanasana ,asiekubali kushindwa si mshindani CCM kubalini yaishe jipangeni tena hapo 2020 !
Hizi ni ndoto za asubuhi kama sio za mchana hv kwa akili yako Lowasa ashinde kwa kura zipi hasa mnazotegemea? maana wananchi wa leo sio wakushikiwa akili kama wewe Lowasa Nooooo kamwe hataingia Ikulu ya wananchi labda ile ya kina mtei pale kinondoni ofisi za Chadema
Ukweli kwamba Lowasa atashinda uchaguzi Mkuu ujao hauna pingamizi wala si wakutilia shaka ,sasa ninalowashauri ndugu zangu wa CCM haswa Magufuli na wenzake waliobakia kuwa wasalimu amri tu ,wasisubiri kuadhirika wakubali wameshindwa na haina haja ya kuendelea na kampeni.
Lowasa amekwisha shinda tena yupo mbali sanasana ,asiekubali kushindwa si mshindani CCM kubalini yaishe jipangeni tena hapo 2020 !
Hizi ni ndoto za asubuhi kama sio za mchana hv kwa akili yako Lowasa ashinde kwa kura zipi hasa mnazotegemea? maana wananchi wa leo sio wakushikiwa akili kama wewe Lowasa Nooooo kamwe hataingia Ikulu ya wananchi labda ile ya kina mtei pale kinondoni ofisi za Chadema
Ukweli kwamba Lowasa atashinda uchaguzi Mkuu ujao hauna pingamizi wala si wakutilia shaka ,sasa ninalowashauri ndugu zangu wa CCM haswa Magufuli na wenzake waliobakia kuwa wasalimu amri tu ,wasisubiri kuadhirika wakubali wameshindwa na haina haja ya kuendelea na kampeni.
Lowassa amekwisha shinda tena yupo mbali sana sana ,asiekubali kushindwa si mshindani CCM kubalini yaishe jipangeni tena hapo 2020 !
Kweli naunga mkono hoja wakubali mapema wemeshindwa lasivyo watatumia garama kubwa na mwishowe watashindwa na wajue lowasa anataka akute pesa za kukutosa hazina ole wenu muzimalize mtamjua lowasa ni mzee wa maamuzi magumu
Ukweli kwamba Lowasa atashinda uchaguzi Mkuu ujao hauna pingamizi wala si wakutilia shaka ,sasa ninalowashauri ndugu zangu wa CCM haswa Magufuli na wenzake waliobakia kuwa wasalimu amri tu ,wasisubiri kuadhirika wakubali wameshindwa na haina haja ya kuendelea na kampeni.
Lowassa amekwisha shinda tena yupo mbali sana sana ,asiekubali kushindwa si mshindani CCM kubalini yaishe jipangeni tena hapo 2020 !
Hizi ni ndoto za asubuhi kama sio za mchana hv kwa akili yako Lowasa ashinde kwa kura zipi hasa mnazotegemea? maana wananchi wa leo sio wakushikiwa akili kama wewe Lowasa Nooooo kamwe hataingia Ikulu ya wananchi labda ile ya kina mtei pale kinondoni ofisi za Chadema