Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Purukushani na mpasuko za maccm ni dalili tosha kuwa raisi ni lowassa
 
Yaani hizi siasa yaani ni mpaka raha. Mnavyotiririka na kukubaliana utafikiri mna uhakika na mkisemacho. Hata kama ni kweli lakini in politics anything can happen at anytime. Kuweni na subira. Oktoba 26 itafika!
 
Wacha waendelee jipa moyo na tafiti zao feki, ushindi lazima
Mwaka huu lazima tubadili mfumo wote
 
Kwa kila dalili za kampeni na watu wengi wasomi na wasio wasomi zinaonyesha lowassa ni raisi! Pia ukiona kampeni ya ccm na team yake wanavhanganyikiwa hata mgombea anaweweseka na kusema maneno ya kuujumiwa na wana ccm hii ni dalili tosha mambo yako kombo.
Hapa ccm inatapatapa si unajua ukichinja kuku lazima atapetape

Rais wa Face book
 
Jamani Nazidi Kufurahi Sasa Tanzania Tunakwenda Kuisahau CCM na Utawala Wake Wa Kikatili!
Pita Babaaa.... Pita Lowassaaaaaa...nasema Pita Shuja wetuuuuu!.....Tunakukabidhi Hii Nchi Ingawa Tayari Ina Madonda Kila Sehem, Dawa Ni Wewe Babaaaaaa.......!!(With Babu Joti Voice)
 
Ukweli ndiyo huo ni lazima Lowassa ndiye Rais. Niko kikazi mkoa Fulani kwa wiki kadhaa. Ninakuhakikishia Lowassa ataongoza mikoa zaidi ya 15. Na kanda ya ziwa watagawana kura ambapo inategemewa na Magufuli.

Wakigawana Mwanza,Geita,Shinyanga,Tabora na Musoma. Magufuri itabidi arudi Sengerema High School kuendeleza topic za Organic chemistry.
 
Yaani hizi siasa yaani ni mpaka raha. Mnavyotiririka na kukubaliana utafikiri mna uhakika na mkisemacho. Hata kama ni kweli lakini in politics anything can happen at anytime. Kuweni na subira. Oktoba 26 itafika!

Shimba ya buyenze aka bhosheke umeongea pointi tupu. Wengi tupo hapa kusukuma masaa yaende japo imefikia hatua watu tunachukiana hadi mtu ana ku unfriend Facebook!!
 
Kwa kila dalili za kampeni na watu wengi wasomi na wasio wasomi zinaonyesha lowassa ni raisi! Pia ukiona kampeni ya ccm na team yake wanavhanganyikiwa hata mgombea anaweweseka na kusema maneno ya kuujumiwa na wana ccm hii ni dalili tosha mambo yako kombo.
Hapa ccm inatapatapa si unajua ukichinja kuku lazima atapetape

mkuu kuongoza nchi kunahitaji busara na hekima na sio kukurupuka na kupiga pushapu
lowassa ana hekima na busara
daktari bingwa wa marekani Ben Carson aka mtanzania/mkenya alisema madaktari wengi marekani wana ujuzi wa hali ya juu na teknologia lakini wachache wana hekima
 
Shimba ya buyenze aka bhosheke umeongea pointi tupu. Wengi tupo hapa kusukuma masaa yaende japo imefikia hatua watu tunachukiana hadi mtu ana ku unfriend Facebook!!
Bhosheke? Bobalumbuyo? Unene nalishimba lya Buyenze gete ululyukumba abanhu buja gulala.

Sipati picha tarehe 26 Oktoba itakavyokuwa. Waliokosana pengine wataanza kusameheana au pengine ndo watazidi kuchukiana. Mimi nilishaapa kutokosana na mtu kwa ajili ya siasa hizi za kinafiki. Ndiyo maana hata Ng'wanapagi akinitukana navumilia tu after all hatujuani.
 
sekta na wizara nyingi nchini zimeshajua kuwa lowasa ndiye raisi na wengi wanaambiana jamani tuchape kazi tuache mazoea maana lowasa si mnafahamu
 
Bhosheke? Bobalumbuyo? Unene nalishimba lya Buyenze gete ululyukumba abanhu buja gulala.

Sipati picha tarehe 26 Oktoba itakavyokuwa. Waliokosana pengine wataanza kusameheana au pengine ndo watazidi kuchukiana. Mimi nilishaapa kutokosana na mtu kwa ajili ya siasa hizi za kinafiki. Ndiyo maana hata Ng'wanapagi akinitukana navumilia tu after all hatujuani.

mkuu kuna wengine akipost kitu fb ukamkosoa basi ana kublock kabisa aiseee........mimi kuna makada km wa3 hv wa ccm ni rafk zangu na nimesoma nao lakn mpk sasa wameniblock.............kuna watu wanachukulia siasa way too serious
 
Kweli naamin hakuna marefu ya sio na ncha ✌✌✌✌
 
Msingi wa mkuu wa Tanzania umebomoka hakika mtu huyu lazima hashinde tena kwa kura halali,watatokea wakupindisha na sarakasi nyingi lakini Mungu ameishasema
 
Ukweli ndiyo huo ni lazima Lowassa ndiye Rais. Niko kikazi mkoa Fulani kwa wiki kadhaa. Ninakuhakikishia Lowassa ataongoza mikoa zaidi ya 15. Na kanda ya ziwa watagawana kura ambapo inategemewa na Magufuli.

Nukuu maneno yake, yatunze usubiri baada ya oct 25 uone kama yatatumika.
 
Back
Top Bottom