Mabadiliko kwanza halafu kazi baadaye!Hahaaa kusikia hausikii ,Owky..; Na kuona hauoni???
Mwenye macho haambiwi tazama. Mambo mswano kwa Magufuli.!!
Nasema Magufuli apishwe tu !! HAKUNA NAMNA NYINGINE.
#Hapa kazi tu.
Tutalinda kura zetu na watalazimika kumtangaza lowasa kuwa rais
Ninyi hammjui Lubuva nyie! Huyo atamtangaza tu hata kama atawekewa bunduki kichwani! Labda wampige sumu kabla!!
Kila ninapopita kila ninaposikia kila ninaposikiliza kila ninapoangalia namwona lowasa akienda kupigiwa kura na makundi yote si wazee si vijana si wanawake kila mmoja ameapa kumpigia lowasa kura ya urais si mijini si vijijini kote wanamwona lowasa kua ni rais wao
Yeah, hawa jamaa wanakera sana! Wote wapo na EL, kuna Aloyce Kimaro, Davis Mosha, Aggrey Mwanri na wengine wengi!Yaani KIMARIO ningeshangaa kama usingeandika hivyo.Akina KIMARIO mnampenda sana Lowasa sisi wengine akina Mwakidodile tukiwaambia hapiti mnaweza tupiga mawe