Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

kwa umoja wetu tushiriki katika kuleta mabadiriko ya kiuchumi na kimfumo katika taifa letu. Tanzania ni yetu sisi tunaoishi leo na vizazi vyetu vijavyo. Tumuone lowasa kama shujaa aliyetumwa kuja kulikomboa taifa hili linaloharibiwa makusudi. Lowasa ni kama habari ya mwanampotevu sasa anarudi nyumbani.
Walambo mje uku walambo mje huku; yeeeeeee. tokeni ccm njooni tujenge Tanzania mpya.

LOWASA CHINI KWA CHINI, LOWASA CHINI KWA CHINI YEEEEEEE
 
kwa umoja wetu tushiriki katika kuleta mabadiriko ya kiuchumi na kimfumo katika taifa letu. Tanzania ni yetu sisi tunaoishi leo na vizazi vyetu vijavyo. Tumuone lowasa kama shujaa aliyetumwa kuja kulikomboa taifa hili linaloharibiwa makusudi. Lowasa ni kama habari ya mwanampotevu sasa anarudi nyumbani.
Walambo mje uku walambo mje huku; yeeeeeee. tokeni ccm njooni tujenge Tanzania mpya.

LOWASA CHINI KWA CHINI, LOWASA CHINI KWA CHINI YEEEEEEE

kwa umoja wetu tushiriki katika kuleta mabadiriko ya
kiuchumi na kimfumo katika taifa letu. Tanzania ni yetu
sisi tunaoishi leo na vizazi vyetu vijavyo. Tumuone lowasa
kama shujaa aliyetumwa kuja kulikomboa taifa hili
linaloharibiwa makusudi. Lowasa ni kama habari ya
mwanampotevu sasa anarudi nyumbani.
Walambo mje uku walambo mje huku; yeeeeeee. tokeni
ccm njooni tujenge Tanzania mpya.
LOWASA CHINI KWA CHINI, LOWASA CHINI KWA CHINI
YEEEEEEE
 
Umenikumbusha mbali saaana! Walambo walambo mjae huku we see eee! Hapo boizia Na kazima lazima wakae mbali.Big up sana kwa Machine Yetu EL,ndo mana ana roho ya ukombozi,Mzuka Wa Milambo bado anaoo.Hapa sasa naamini kua October 25 asubuhi Nchi ipo walambo oyeeeee! Nimkumbuke Mwl Zoma,Katrige n.k.
 
Kuanzia awamu ya tatuya utawala wa nchi yetu imekuwa ikiongozwa na kundi la mafilisi wa mali za taifa letu na kupelekea umasikin mkubwa mno kwa watanzania. Watanzania tuikatae ccm kwa kuinyima kura hapo october 25 mwaka huu, jiandae kupiga kura ya ndiyo kwa LOWASSA
 
Umenikumbusha mbali saaana! Walambo walambo mjae huku we see eee! Hapo boizia Na kazima lazima wakae mbali.Big up sana kwa Machine Yetu EL,ndo mana ana roho ya ukombozi,Mzuka Wa Milambo bado anaoo.Hapa sasa naamini kua October 25 asubuhi Nchi ipo walambo oyeeeee! Nimkumbuke Mwl Zoma,Katrige n.k.

Magufuli kaa pembeni wewee pembua kwanza. by katrige
 
kimsingi sasa ni wakati wa kuingiza mfumo mpya wa kiutawala. huyu mlambo namuona kama gear ya kuanzia
 
Kuanzia awamu ya tatuya utawala wa nchi yetu imekuwa ikiongozwa na kundi la mafilisi wa mali za taifa letu na kupelekea umasikin mkubwa mno kwa watanzania. Watanzania tuikatae ccm kwa kuinyima kura hapo october 25 mwaka huu, jiandae kupiga kura ya ndiyo kwa LOWASSA

Naunga mkono hoja!!
 
Kwa kila dalili za kampeni na watu wengi wasomi na wasio wasomi zinaonyesha lowassa ni raisi! Pia ukiona kampeni ya ccm na team yake wanavhanganyikiwa hata mgombea anaweweseka na kusema maneno ya kuujumiwa na wana ccm hii ni dalili tosha mambo yako kombo.
Hapa ccm inatapatapa si unajua ukichinja kuku lazima atapetape
 
Ukweli ndiyo huo ni lazima Lowassa ndiye Rais. Niko kikazi mkoa Fulani kwa wiki kadhaa. Ninakuhakikishia Lowassa ataongoza mikoa zaidi ya 15. Na kanda ya ziwa watagawana kura ambapo inategemewa na Magufuli.
 
Wanasema ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo uvume utaziona bila shaka yoyote ile.
 
Kitu cha kwanza anze na wizara ya afya kuondoa wakurugenzi walioka mda mrefu muhimbili hadj hospitali imekufa
 
Back
Top Bottom