youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
viva roma viva
Wa Nne.
viva roma viva
mimi wa tano
Hapa Kazi Tu
Mnaosema Lowassa Hawezi kushinda ina maana hata dalili hamzioni? au ndo ushabiki tu unawasumbua?
Ebu Angalia Tu Hata Kwa Hii Thread Ccm Watapita Wangapi?
Kazi ipi, wakati vijana hawana ajira?
Nyinyiem ndio 'Ruin' kwa wasanii.mkuu naomba nikufundishe namna ya kufanya tathimini, angalia waliocoment hapo utajua wanaounga mkono, angalia like utakazopata hizo nazo zinakuunga mkono na mwisho angalia view halafu toa like na waliocoment vizuri na wanaobaki jua hao ni ccm, ccm si watu wa maneno sana bali vitendo zaidi, usanii mmebaki nao nyinyi.
Ccm lazima wakimbie nchi!tatizo wizi wa kura hujaona jana eti kikao cha lukuvi na lubuva???
Mamluki mmoja kaingia...lkn apa edo atosha..kufuli nje