Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

siyo Tanzania labda nchi ya kusadikika,watanzania wanajitambua na wanamfahamu fika Lowassa,na wala hawajasahau mambo yake,kwa hiyo ushindi kwake ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano,acha aendelee,kunogesha genge,majukwaani na dakika zake kumi,maneno yanahesabika kama tembe,anaogopa akisema mengi atagurumbusha mikashfa yake lukuki.
 
Nyinyiem ndio 'Ruin' kwa wasanii.

mkuu angalia hata hii post, views ni 124 wakati comment na like hazizidi hata 15, maana yake wengi wameangalia na kupita, hao ndo ccm, ndo maana nasema msije mkayakataa matokeo maana mnadhani kura ni maneno.
 
mkuu naomba nikufundishe namna ya kufanya tathimini, angalia waliocoment hapo utajua wanaounga mkono, angalia like utakazopata hizo nazo zinakuunga mkono na mwisho angalia view halafu toa like na waliocoment vizuri na wanaobaki jua hao ni ccm, ccm si watu wa maneno sana bali vitendo zaidi, usanii mmebaki nao nyinyi.

Hebu tutajie hivyo vitendo vya CCM isije ikawa unamaanisha vitendo vya MAGWEPANDE, ESCROW na mambo kama hayo.
 
Duh, Ebu Endeleeni Kucomment After A Time nitatoa updates ya matokeo, lakini mnajionea wenyewe hapa.
 
Hebu tuajie hivyo vitendo vya CCM isije ikawa unamaanisha vitendo vya MAGWEPANDE na mambo kama hayo.

Vitendo vyao ni hivi
 

Attachments

  • 1442308658188.jpg
    1442308658188.jpg
    37.7 KB · Views: 158
wameleta mpaka watu wa ku hack mtandao wa BVR wamewapangishia nyumba Upanga,
Tunawaangalia tu,***** zao.

Kuna vijana wa IT walipelekwa china mwezi machi kwa kazi hiyo pia.Dawa kupiga kura kuzilinda kuhesabu hapo hapo kituoni.Tusikubali masanduku yabebwe kupelekwa wilayani
 
Back
Top Bottom