Lakini ni ukweli unasikitisha kwamba wananchi wengi wa vijijini hawana habari na vuguvugu la kisiasa linaloendelea..wengi wao wanajua tu ccm ndio inayodumisha amani na kuwa isipotawala vita kubwa itatokea..umati huu uliobado na ujinga mwingi ndio wapiga kura wazuri wa chama cha mafisadi na bahati mbaya wako wengi mno ukilinganisha na wavuguvugu ambao wengi wetu tuko mijini tu..kwahyo nafasi ya ccm kuendelea kubaki ni kubwa zaidi
Kwa zaidi ya wiki tatu nilikuwa napita maeneo ya jaribu, kivinje, bungu, kibiti, mkonngo, utete, kilimani, mloka, nyamwage, somanga mpaka kilwa masoko. Nilichojionea ni anguko baya kwa ccm. Wenyeji wa maeneo hayo wamesikitishwa na kusahauliwa kwa wilaya ya rufiji na kilwa. Barabara yenye rami ni moja tu yaani kilwa road. Ukichepuka barabara nyingine yeyote ni vumbi na hazipitiki kipindi cha mvua. Wanasema wanyama aina ya tembo na faru ambapo zamani walikuwa wanaonekana hata katika mashamba yao kwa sasa hawapo tena. Nilifika mloka nilishangaa kuona watu wakisema ccm huku hatuitaki tena. Kama mtakumbuka katika uchaguzi wa serikali za mitaa wilaya ya rufiji cuf walishinda kwa zaidi ya asilimia 65% lakini wanasema hizo 35% walizopata ccm wasitegemee tena. Maji yamekuwa tabu wakati mtu rufiji upo jirani. Dai lao kubwa ni kama serikali ya ccm wameshindwa kusamabaza maji kwa warufiji pamoja na kilwa kwa kutegemea mto rufiji je wataweza kufanya nini?. Pia wanalalamika kama waziri wa afya ambaye alishindwa ubunge alishindwa kuboresha huduma ya affya hata kwenye kata moja je nani ataweza?.... mao, mao..
Lakini ni ukweli unasikitisha kwamba wananchi wengi wa vijijini hawana habari na vuguvugu la kisiasa linaloendelea..wengi wao wanajua tu ccm ndio inayodumisha amani na kuwa isipotawala vita kubwa itatokea..umati huu uliobado na ujinga mwingi ndio wapiga kura wazuri wa chama cha mafisadi na bahati mbaya wako wengi mno ukilinganisha na wavuguvugu ambao wengi wetu tuko mijini tu..kwahyo nafasi ya ccm kuendelea kubaki ni kubwa zaidi
Lakini ni ukweli unasikitisha kwamba wananchi wengi wa vijijini hawana habari na vuguvugu la kisiasa linaloendelea..wengi wao wanajua tu ccm ndio inayodumisha amani na kuwa isipotawala vita kubwa itatokea..umati huu uliobado na ujinga mwingi ndio wapiga kura wazuri wa chama cha mafisadi na bahati mbaya wako wengi mno ukilinganisha na wavuguvugu ambao wengi wetu tuko mijini tu..kwahyo nafasi ya ccm kuendelea kubaki ni kubwa zaidi
Tatizo la CUF wengi waliopewa majimbo hayo hawajarudisha form,wakidhani wanaikomoa CHADEMA.
Lakini ni ukweli unasikitisha kwamba wananchi wengi wa vijijini hawana habari na vuguvugu la kisiasa linaloendelea..wengi wao wanajua tu ccm ndio inayodumisha amani na kuwa isipotawala vita kubwa itatokea..umati huu uliobado na ujinga mwingi ndio wapiga kura wazuri wa chama cha mafisadi na bahati mbaya wako wengi mno ukilinganisha na wavuguvugu ambao wengi wetu tuko mijini tu..kwahyo nafasi ya ccm kuendelea kubaki ni kubwa zaidi
tatizo la cuf wengi waliopewa majimbo hayo hawajarudisha form,wakidhani wanaikomoa chadema.
kwa zaidi ya wiki tatu nilikuwa napita maeneo ya jaribu, kivinje, bungu, kibiti, mkonngo, utete, kilimani, mloka, nyamwage, somanga mpaka kilwa masoko. Nilichojionea ni anguko baya kwa ccm. Wenyeji wa maeneo hayo wamesikitishwa na kusahauliwa kwa wilaya ya rufiji na kilwa. Barabara yenye rami ni moja tu yaani kilwa road. Ukichepuka barabara nyingine yeyote ni vumbi na hazipitiki kipindi cha mvua. Wanasema wanyama aina ya tembo na faru ambapo zamani walikuwa wanaonekana hata katika mashamba yao kwa sasa hawapo tena. Nilifika mloka nilishangaa kuona watu wakisema ccm huku hatuitaki tena. Kama mtakumbuka katika uchaguzi wa serikali za mitaa wilaya ya rufiji cuf walishinda kwa zaidi ya asilimia 65% lakini wanasema hizo 35% walizopata ccm wasitegemee tena. Maji yamekuwa tabu wakati mtu rufiji upo jirani. Dai lao kubwa ni kama serikali ya ccm wameshindwa kusamabaza maji kwa warufiji pamoja na kilwa kwa kutegemea mto rufiji je wataweza kufanya nini?. Pia wanalalamika kama waziri wa afya ambaye alishindwa ubunge alishindwa kuboresha huduma ya affya hata kwenye kata moja je nani ataweza?.... mao, mao..