Nimejifunza kitu kikubwa sana siku ya leo,,, watanzania siasa zimetujaa hata kwenye mambo ya kimaendeleo.. JK tunapomlaumu pia tuangalie upande wa pili kwa watangulizi wake,, kuna watu walijenga barabara na kupeleka umeme milimani just kwa sababu ni nyumbani, kuna mtu alihamishia mradi wa maji kwao na kuwanyang'anya watanzania wenzie, kuna mtu kaongeza mipaka ya kwao kwa kuiba eneo la
mji mwingine... JK kashindwa kuvumilia kuwaacha hivihivi ndugu zake huku wenzie wamefanya kitu kule makwao...
Kwa namna moja au nyingine ilitakiwa tuwe na akili kama za waindonesia lakini kwa bahati mbaya hizo akili hakuna afrika aka kwa watu weusi... Maisha ya mtu mweusi huwa ni ya kishabiki zaidi na si uzalendo kwa taifa.. hakuna kiongozi mzalendo africa,,TICS kapewa karamagi na lowassa alikuwepo hakupinga hili,, buzwagi imesainiwa pale churchill hotel london lowassa alikuwepo hakupinga nalo....
Haya ndiyo mabishano kutoka kwa watanganyika ambayo huwa siyapendi. Kwa ulivyosoma comments za wadau tatizo lao ni gharama au Hakuna haja ya kujenga bandari kama hiyo Bsgamoyo badala yake waendeleze Bandari za Tanga na Mtwara? Ndio yale niliyosema why watanzania mnapenda kukomaa na kitu msichokijua na kujifanya mnajua? Kwani huu mradi unajengwa fedha zenu? Ni mou kati ya China-/Oman na Tanzania. Hivyo kila pande ina nafasi ya kujua wapi aweke fedha zake? Ukumbuke pia Bagamoyo port ni kwa wachina kupitisha bidhaa za viwanda vyao kwa ajili ya masoko ya nchi kadhaa za kiafrika. Utamwambiaje akaendeleze mtwara au Tanga kama haiko katika strategic zones zake?
Kujua mradi unajengwa kwa gharama kubwa kiasi gani kwa fedha za mikopo au msaada kuna vigezo vingi vya kuangalia. Ni budi ujue huo mkopo ni wa interest kiasi gani? Ni wa miaka mingapi nk? Hata hivyo, hayo ni sehemu yenu ninyi watanzania sio kosa la mradi. Je hujui kwamba wako wafadhili wanatumia zero - interest loan lakini wanakuwa na hidden interest kupitia kwenye vipuri, teknolojia na wataalam wa mradi husika? Ndio hasara za kuwa maskini huko, ni lazima ukubali kutokuwa kwa elimu kunachangia. Na mradi wa Bagamoyo port bila shaka hautaepuka hayo.
Anyway, kwaheri ndugu nchi yenu maamuzi yenu.
Ms
Bandari ya Mtwara ni uti wa mgongo kwa mikoa ya kusini.Uchumi ungekuwa mara dufu katika biashara za kimikoa na nchi jirani kama Zambia na malawi na zingine. Tungepunguza kwa asilimia kubwa population ya wahamiaji walio kimbilia Dar. Kwa Tanga vile vile bandari hizo zingesaidia katika kusafirisha bidhaa za biashara kwa wakazi wa mikoa ya kaskazini na nchi jirani na kuondoa matabaka katika ukuaji wa uchumi kimikoa. Hii ya kujenga Bandari kubwa Bagamoyo imekaa kinafiki nafiki na kiushabiki wa kwamba mimi nimewafanya nini wakaazi wangu.Hatutaki vijana na ndugu zetu waendelee kujazana Dar es salaam na Bagamoyo.
Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu ni kidume alizungumaie
Haya maneno mbona yanajirudia? Bampani naye kaandika hivi hivi (Ame-Paste maneno haya). Ni watu wawili tofauti au wewe!Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu ni kidume alizungumaie
prizash,
..kwa uelewa wangu bandari ya Bagamoyo inajengwa kwa fedha za Wachina.
..wataimiliki bandari hiyo mpaka watakaporudisha fedha zao ndiyo itakuwa mali yetu.
..mimi tatizo langu na bandari ya Bagamoyo ni uwezekano wa bandari hiyo kuiua bandari ya Dsm. vilevile inaonekana hatujajipanga kuhakikisha tunafaidika na uwekezaji huo ambao ni mkubwa kufanyika hapa Tanzania.
..ningependa mamlaka yetu ya bandari iwe na significant amount of shares ktk mradi wa Bagamoyo ili tuweze kufaidika na mapato yanayotokana na bandari hiyo. pia kuna eneo la huduma kwa bandari hiyo mfano upakiaji na upakuaji ambayo inaweza kufanywa na mamlaka yetu ya bandari.
..pia tusisahau kwamba SEKTA YA USAFIRISHAJI itakuwa kwa kiasi kikubwa ikiwa mradi wa Bagamoyo port utakamilika. vilevile ukumbuke kwamba OMAN FUND wanawekeza ktk eneo la viwanda linalounganishwa na bandari hiyo. sasa hapo napo tujipange na siyo kuanza kuupinga mradi huu.
..kwa bandari ya TANGA, labda tungekuwa wabunifu kidogo kwa kuifanya iwe kituo kikuu cha kuteremsha MAFUTA nchini. vilevile Tanzania ipiganie bomba la MAFUTA toka UGANDA liishie katika bandari ya Tanga.
..kuhusu bandari ya MTWARA; eneo la kusini, pamoja na nyanda za juu kusini kuna miradi ya gesi, chuma, na makaa ya mawe, hivyo bandari hiyo inapaswa kuwa mahsusi kwa usafirishaji wa madini hayo, pamoja na bidhaa zitokanazo.
..MRADI WA BAGAMOYO TUSICHEZEE SHILINGI KTK TUNDU LA CHOO. WATU WAMEAMUA KUWEKEZA $10++ BILLIONS HALAFU TUNAWALETEA LONGOLONGO NA KUWATISHA?? TUANGALIE NI JINSI GANI TUNAWEZA KUFAIDIKA NA MRADI HUO NA SIO KUUPIGA VITA.
cc Kimweri, msemakweli, Bavaria, samurai, Jigsaw
prizash,
..kwa uelewa wangu bandari ya Bagamoyo inajengwa kwa fedha za Wachina.
..wataimiliki bandari hiyo mpaka watakaporudisha fedha zao ndiyo itakuwa mali yetu.
..mimi tatizo langu na bandari ya Bagamoyo ni uwezekano wa bandari hiyo kuiua bandari ya Dsm. vilevile inaonekana hatujajipanga kuhakikisha tunafaidika na uwekezaji huo ambao ni mkubwa kufanyika hapa Tanzania.
..ningependa mamlaka yetu ya bandari iwe na significant amount of shares ktk mradi wa Bagamoyo ili tuweze kufaidika na mapato yanayotokana na bandari hiyo. pia kuna eneo la huduma kwa bandari hiyo mfano upakiaji na upakuaji ambayo inaweza kufanywa na mamlaka yetu ya bandari.
..pia tusisahau kwamba SEKTA YA USAFIRISHAJI itakuwa kwa kiasi kikubwa ikiwa mradi wa Bagamoyo port utakamilika. vilevile ukumbuke kwamba OMAN FUND wanawekeza ktk eneo la viwanda linalounganishwa na bandari hiyo. sasa hapo napo tujipange na siyo kuanza kuupinga mradi huu.
..kwa bandari ya TANGA, labda tungekuwa wabunifu kidogo kwa kuifanya iwe kituo kikuu cha kuteremsha MAFUTA nchini. vilevile Tanzania ipiganie bomba la MAFUTA toka UGANDA liishie katika bandari ya Tanga.
..kuhusu bandari ya MTWARA; eneo la kusini, pamoja na nyanda za juu kusini kuna miradi ya gesi, chuma, na makaa ya mawe, hivyo bandari hiyo inapaswa kuwa mahsusi kwa usafirishaji wa madini hayo, pamoja na bidhaa zitokanazo.
..MRADI WA BAGAMOYO TUSICHEZEE SHILINGI KTK TUNDU LA CHOO. WATU WAMEAMUA KUWEKEZA $10++ BILLIONS HALAFU TUNAWALETEA LONGOLONGO NA KUWATISHA?? TUANGALIE NI JINSI GANI TUNAWEZA KUFAIDIKA NA MRADI HUO NA SIO KUUPIGA VITA.
cc Kimweri, msemakweli, Bavaria, samurai, Jigsaw
Leo mbona unamuunga mkono na mguu zito??Nilikuwa naliongelea hili kila siku.
Unajenga bandari ya Bagamoyo wakati hiyo hela inaweza kujenga bandari za Tanga na Mtwara na kufufua reli kwa ukanda huo.
Reli ya ukanda wa kaskazini inaanzia bandari ya Tanga hadi Burundi ikihudumia nchi za Kenya, Uganda, Rwana na Burundi.
Reli ya Ukanda wa kusini inaanzia Bandari ya mtwara hadi Congo ikihudumia nchi za Msumbiji, Malawi, Zimbabwe, Zambia na baadhi ya sehemu za Congo.
Reli inayoanzia Bandari ya DSM inahudumia njia ya kati hadi Congo.
Lowasa amefanya the best move kwenye hili.
Comment za mdau Tokyo40 kwenye huu uzi https://www.jamiiforums.com/kenyan-news/853909-kenya-the-standard-gauge-railway-takes-shape-2.html
Congratulations Kenya for building a new railway network.
Word of caution:
There is no such thing as Free Lunch. Kenya has borrowed 90% of the $3.8 billion from China Exim Bank to finance this project.
Haven't you guys learned from Angola?
China has lent Angola around $20 billion since a 27-year civil war ended in 2002.
They are borrowing another $25 billion from China and Brazil to fund the budget gap in 2015 due to low crude oil prices.
Repayments are often paid with oil or funds go directly to Chinese construction firms that have built roads, hospitals, houses and railways across the southern African country.
This means, however, dollars don't end up entering the real economy, increasing costs for ordinary Angolans.
There are around 50 Chinese state companies and 400 private companies operating in Angola alone.
I honestly hope that Kenyans will be able to repay the Chinese without sacrificing their future.
Wishing you all the best.
source:Bloomberg.com, Reuters.com
My concerns are two. Can Kenya afford to pay the debt? How much technology-transfer is Involved?
This is not about Kenya but Africa in general. Can Africa afford to borrow so heavily without even demanding transfer of technology?
Angola has an economy twice as big as Kenya and still struggling to pay her debts.
Kenya does not exactly have Singaporean efficiency and financial discipline. She can easily get trapped just like Angola.
Do not be so arrogant. We can all learn from Indonesians. They have awarded a $5 billion tender to the Chinese to build them a railway network this year. However, they have a clause in their contract which demands that they transfer their technology to them. The Chinese will also build a factory to manufacture components of the train in Indonesia. The construction will also involve local firms so that they can learn from their counterparts.
Their government turned down a much superior Japanese technology because the Japanese insisted the Indonesian government borrow money to finance the project and it was more expensive. The Chinese agreed to finance it privately.
Thanks to the Indonesian government's insistence of transfer of technology when she award tenders, today they are able to make small arms, car engines, military vehicles and even aviation spare parts in their country.
That is how they built a one billion dollar economy.
Only a fool will think that transfer of technology is not THAT important.
By the way, I never try to impress you or anyone else here with my knowledge. Please refrain from personal attacks, stick to facts and show some maturity.
source: jakartaglobe.beritasatu.com, Indonesia-investments.com
Hatimaye kafanya kama ulivyotaka, vipi sasa unaungana na zitto?Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima
sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu
ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya
kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu
ni kidume alizungumaie
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu
ni kidume alizungumaie
Njoo tena ukomentiUle ukaskazini ndio unadhihirika rasmi..
To deny development at Pwani region!
Funny enough hajui kuwa kuna wachaga waliowekeza Bagamoyo !!
Mkiitwa Genge mnachukia...mkiambiwa hana uwezo mnakasirika!
Unachukuliaje haya maamuzi ya kiongozi unaempondea sana, ya kuachana na huo mradi, naomba nikusikie ukimpongeza.Kimweri,
..ndiyo maana nimeandika "kwa uelewa wangu"....
..baada ya kufanya utafiti nimetoka na hicho nilichoandika.
..kwa sababu inaelekea uko-exposed, umefanya utafiti, na una uelewa mpana kuhusu suala hili, labda ungetueleza mahusiano ya bandari ya Dsm na hii inayojengwa Bagamoyo yatakuwaje. Je, TPA wana hisa kiasi gani ktk mradi huu wa Bagamoyo? Vilevile TPA wana mamlaka gani na bandari ya Bagamoyo? Bandari ya Dsm itafaidika vipi na bandari ya Bagamoyo and vice versa?
..kuna mambo mengi sana hayaeleweki kuhusu hii bandari ya Bagamoyo. Tunaomba utusaidie kutupa mwanga na kutuelimisha kuhusu mradi huu.