Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Nimejifunza kitu kikubwa sana siku ya leo,,, watanzania siasa zimetujaa hata kwenye mambo ya kimaendeleo.. JK tunapomlaumu pia tuangalie upande wa pili kwa watangulizi wake,, kuna watu walijenga barabara na kupeleka umeme milimani just kwa sababu ni nyumbani, kuna mtu alihamishia mradi wa maji kwao na kuwanyang'anya watanzania wenzie, kuna mtu kaongeza mipaka ya kwao kwa kuiba eneo la
mji mwingine... JK kashindwa kuvumilia kuwaacha hivihivi ndugu zake huku wenzie wamefanya kitu kule makwao...
Kwa namna moja au nyingine ilitakiwa tuwe na akili kama za waindonesia lakini kwa bahati mbaya hizo akili hakuna afrika aka kwa watu weusi... Maisha ya mtu mweusi huwa ni ya kishabiki zaidi na si uzalendo kwa taifa.. hakuna kiongozi mzalendo africa,,TICS kapewa karamagi na lowassa alikuwepo hakupinga hili,, buzwagi imesainiwa pale churchill hotel london lowassa alikuwepo hakupinga nalo....
Itafika wakati wachina watatukalia kooni in such a way kwamba hatutaweza kuwaambia chochote.
The time is coming.