Elections 2015 Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Safiiiiii Lowassa... Very intelligent...!!!

Nimefurahi sana, sbb hakuna sababu ya kuwa na bandari Bagamoyo wakati ya Tanga inaachwa bure... Ingetakiwa tuboreshe na kujenga bandari kubwa Tanga.. sio Bagamoyo...!!

Tetesi ni kuwa BANDARI YA BAGAMOYO ITATUMIWA BUREEEEEE NA CHINA KWA MIAKA 50 IJAYO...!!!

Kama China watatumia hiyo BANDARI YA BAGAMOYO miaka 50 bure.... nchi yetu Tanzania itabakia HAKUNA KITU...CHINA WATAKOMBA KILA KITU... TENA NASIKIA NI JESHI LA CHINA...!!! HIVYO NI MKATABA HATARI SANA SANAAA...!!! China wataimaliza nchi hii jamani...!!!

Lowassa tukomboe...!!!
Leo nimesoma comment yako kwenye post ya zitto nimebaki nimeduwaa!
 
Leo nimesoma comment yako kwenye post ya zitto nimebaki nimeduwaa!


Acha uongo, i didn't comment anything ktk thread yoyote ya Zitto leo. Bandari ya Bagamoyo hujui kiundani ule mkataba ungepita vile vile ilikuwa ni cancer kwa Tanzania yetu. Acha kumsikiliza Zitto, do deep analysis ya major issues & projects, Zitto huyo alipinga makinikia ya Acacia sana kukamatwa na kuzuiwa, leo wanashangaa tuna share 16% na kampuni mpya ya Twiga + 50/50 ktk profit. Zitto huyo alisema ndege zetu za Bombardier Q400 za awali ni Terrible teen, leo anazipanda kwenda kwao Kigoma na kushangilia usafiri huo huo. Tumia kichwa chako vizuri au nyie ndio fuata bendera nani kasema na kuamini tu.
 
Nilikuwa naliongelea hili kila siku.
Unajenga bandari ya Bagamoyo wakati hiyo hela inaweza kujenga bandari za Tanga na Mtwara na kufufua reli kwa ukanda huo.
Reli ya ukanda wa kaskazini inaanzia bandari ya Tanga hadi Burundi ikihudumia nchi za Kenya, Uganda, Rwana na Burundi.
Reli ya Ukanda wa kusini inaanzia Bandari ya mtwara hadi Congo ikihudumia nchi za Msumbiji, Malawi, Zimbabwe, Zambia na baadhi ya sehemu za Congo.
Reli inayoanzia Bandari ya DSM inahudumia njia ya kati hadi Congo.
Lowasa amefanya the best move kwenye hili.


Comment za mdau Tokyo40 kwenye huu uzi https://www.jamiiforums.com/kenyan-news/853909-kenya-the-standard-gauge-railway-takes-shape-2.html

Congratulations Kenya for building a new railway network.

Word of caution:
There is no such thing as Free Lunch. Kenya has borrowed 90% of the $3.8 billion from China Exim Bank to finance this project.

Haven't you guys learned from Angola?

China has lent Angola around $20 billion since a 27-year civil war ended in 2002.

They are borrowing another $25 billion from China and Brazil to fund the budget gap in 2015 due to low crude oil prices.

Repayments are often paid with oil or funds go directly to Chinese construction firms that have built roads, hospitals, houses and railways across the southern African country.

This means, however, dollars don't end up entering the real economy, increasing costs for ordinary Angolans.

There are around 50 Chinese state companies and 400 private companies operating in Angola alone.

I honestly hope that Kenyans will be able to repay the Chinese without sacrificing their future.

Wishing you all the best.

source:Bloomberg.com, Reuters.com



My concerns are two. Can Kenya afford to pay the debt? How much technology-transfer is Involved?

This is not about Kenya but Africa in general. Can Africa afford to borrow so heavily without even demanding transfer of technology?

Angola has an economy twice as big as Kenya and still struggling to pay her debts.

Kenya does not exactly have Singaporean efficiency and financial discipline. She can easily get trapped just like Angola.



Do not be so arrogant. We can all learn from Indonesians. They have awarded a $5 billion tender to the Chinese to build them a railway network this year. However, they have a clause in their contract which demands that they transfer their technology to them. The Chinese will also build a factory to manufacture components of the train in Indonesia. The construction will also involve local firms so that they can learn from their counterparts.

Their government turned down a much superior Japanese technology because the Japanese insisted the Indonesian government borrow money to finance the project and it was more expensive. The Chinese agreed to finance it privately.

Thanks to the Indonesian government's insistence of transfer of technology when she award tenders, today they are able to make small arms, car engines, military vehicles and even aviation spare parts in their country.

That is how they built a one billion dollar economy.

Only a fool will think that transfer of technology is not THAT important.

By the way, I never try to impress you or anyone else here with my knowledge. Please refrain from personal attacks, stick to facts and show some maturity.

source: jakartaglobe.beritasatu.com, Indonesia-investments.com
Ulikuwa unashusha nondo, yaani nondooo, hebu shusha na sasa
 
Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima
sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu
ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya
kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu
ni kidume alizungumaie
Magu kidume alilizungumzia na akalikataa
 
Safiiiiii Lowassa... Very intelligent...!!!

Nimefurahi sana, sbb hakuna sababu ya kuwa na bandari Bagamoyo wakati ya Tanga inaachwa bure... Ingetakiwa tuboreshe na kujenga bandari kubwa Tanga.. sio Bagamoyo...!!

Tetesi ni kuwa BANDARI YA BAGAMOYO ITATUMIWA BUREEEEEE NA CHINA KWA MIAKA 50 IJAYO...!!!

Kama China watatumia hiyo BANDARI YA BAGAMOYO miaka 50 bure.... nchi yetu Tanzania itabakia HAKUNA KITU...CHINA WATAKOMBA KILA KITU... TENA NASIKIA NI JESHI LA CHINA...!!! HIVYO NI MKATABA HATARI SANA SANAAA...!!! China wataimaliza nchi hii jamani...!!!

Lowassa tukomboe...!!!
Lowassa atukomboe sawa
 
Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima
sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu
ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya
kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu
ni kidume alizungumaie
Muungwana???
 
Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo.

Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za Tanga na Mtwara ziko ovyo.

Kama kawaida wananchi wa Tanga wamesema kura zao zote ni kwa UKAWA na adui CCM lazima asome namba mwaka huu.

VIVA UKAWA!

NOTE: Kwa msio fahamu kuna umbali wa kilomita 1200 kutoka Tanga mpaka Kampala (Uganda) ukilinganisha na kilomita 1500 kutoka Mombasa (Kenya) mpaka Kampala.

Lakini Waganda wanatumia bandari ya Mombasa sana kwa sababu Tanga hamna kitu.
Ushajua mizigo inayopita kenya kwenda uganda ni tani ngapi na tanzania kwenda uganda ni tani ngapi?
Itakuwa haina maana kutengeneza bandari kwaajili ya uganda tu
 
Magu hakukataa bandari ya bagamoyo bali alisema kuna mambo ya kuzungumza ili kurekebisha mapungufu

Mama anakwenda kufanyia kazi mapungufu husika
Kwa Magu hiyo pronect ilishakufa cos ata katika ilani ya chama iliachwa kabisa na ndiyo maana ikapendekezwa kuongeza fund ya kutosha kwenye bandari za Mtwara, Dar na Tanga.

Leo hii tunaongea tangia mwaka juzi Meli za mafuta zinapaki bandari ya Mtwara kushusha mafuta tofauti na zaman kila kitu ilikuwa Dar then Magari yanasafiri kitu ambacho bei haikuwa sawa ya uuzaji wa mafuta.
 
Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo.

Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za Tanga na Mtwara ziko ovyo.

Kama kawaida wananchi wa Tanga wamesema kura zao zote ni kwa UKAWA na adui CCM lazima asome namba mwaka huu.

VIVA UKAWA!

NOTE: Kwa msio fahamu kuna umbali wa kilomita 1200 kutoka Tanga mpaka Kampala (Uganda) ukilinganisha na kilomita 1500 kutoka Mombasa (Kenya) mpaka Kampala.

Lakini Waganda wanatumia bandari ya Mombasa sana kwa sababu Tanga hamna kitu.
Kumbukumbu za awali zaonekana, mradi huu ulitiwa saini ya awali 2013.
Nini kilifanya uwekezaji haukufanyika mpaka October 2015 ?
Nadhani kama tungewekeza kwenye kujiuliza kwanini tulichelewa kuanza, kulikuwa na nini huko ndani.

EL kama angekuwa Rais alikusudia kuvunja, Urais aliupata JPM nae hakuamua kuendelea na Wachina, kuna nini humo ndani?

Kwanini focus isiwe kwenye upanuzi wa Tanga na Mtwara kuisaidia Dar port ili tuwe na bandari 3 zenye kufanya kazi kwa umahiri.

Well, Rais wa nchi ni mtu ila anaongoza taasisi yenye nguvu kubwa na ushawishi mkubwa. Akiamua kusonga mbele na mradi huu bila shaka utaendelea.
Ila kuna masuala ya msingi sana ya kujiuliza kwenye ujenzi wa SGR ya umeme na baadae kama Bagamoyo port itajengwa, je, Tanzania inajiandaa kwa ujumla ili tuwe na trade surplus kwenye exports au tunabaki kuwa na bandari yenye trade deficits?

Maombi yangu kwa Mungu, tuwe na trade surplus. Moja ya eneo ambalo Tanzania ina competitive advantage ni kuongeza uzalishaji kwa kuingia kwenye kilimo-biashara.
 
Back
Top Bottom