Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,827
- 3,569
Kati ya mvua na jua mnapenda nini?
HahahUnachukuliaje haya maamuzi ya kiongozi unaempondea sana, ya kuachana na huo mradi, naomba nikusikie ukimpongeza.
Sasa leo mbona wasema ina faidaIle bandari imejengwa ili fulani apige dili hakuna zaidi ya hiko
Leo nimesoma comment yako kwenye post ya zitto nimebaki nimeduwaa!Safiiiiii Lowassa... Very intelligent...!!!
Nimefurahi sana, sbb hakuna sababu ya kuwa na bandari Bagamoyo wakati ya Tanga inaachwa bure... Ingetakiwa tuboreshe na kujenga bandari kubwa Tanga.. sio Bagamoyo...!!
Tetesi ni kuwa BANDARI YA BAGAMOYO ITATUMIWA BUREEEEEE NA CHINA KWA MIAKA 50 IJAYO...!!!
Kama China watatumia hiyo BANDARI YA BAGAMOYO miaka 50 bure.... nchi yetu Tanzania itabakia HAKUNA KITU...CHINA WATAKOMBA KILA KITU... TENA NASIKIA NI JESHI LA CHINA...!!! HIVYO NI MKATABA HATARI SANA SANAAA...!!! China wataimaliza nchi hii jamani...!!!
Lowassa tukomboe...!!!
Mkuu hao ni nyumbu kwenye bichwa zao hakuna kitu!Leo nimesoma comment yako kwenye post ya zitto nimebaki nimeduwaa!
Leo nimesoma comment yako kwenye post ya zitto nimebaki nimeduwaa!
Ulikuwa unashusha nondo, yaani nondooo, hebu shusha na sasaNilikuwa naliongelea hili kila siku.
Unajenga bandari ya Bagamoyo wakati hiyo hela inaweza kujenga bandari za Tanga na Mtwara na kufufua reli kwa ukanda huo.
Reli ya ukanda wa kaskazini inaanzia bandari ya Tanga hadi Burundi ikihudumia nchi za Kenya, Uganda, Rwana na Burundi.
Reli ya Ukanda wa kusini inaanzia Bandari ya mtwara hadi Congo ikihudumia nchi za Msumbiji, Malawi, Zimbabwe, Zambia na baadhi ya sehemu za Congo.
Reli inayoanzia Bandari ya DSM inahudumia njia ya kati hadi Congo.
Lowasa amefanya the best move kwenye hili.
Comment za mdau Tokyo40 kwenye huu uzi https://www.jamiiforums.com/kenyan-news/853909-kenya-the-standard-gauge-railway-takes-shape-2.html
Congratulations Kenya for building a new railway network.
Word of caution:
There is no such thing as Free Lunch. Kenya has borrowed 90% of the $3.8 billion from China Exim Bank to finance this project.
Haven't you guys learned from Angola?
China has lent Angola around $20 billion since a 27-year civil war ended in 2002.
They are borrowing another $25 billion from China and Brazil to fund the budget gap in 2015 due to low crude oil prices.
Repayments are often paid with oil or funds go directly to Chinese construction firms that have built roads, hospitals, houses and railways across the southern African country.
This means, however, dollars don't end up entering the real economy, increasing costs for ordinary Angolans.
There are around 50 Chinese state companies and 400 private companies operating in Angola alone.
I honestly hope that Kenyans will be able to repay the Chinese without sacrificing their future.
Wishing you all the best.
source:Bloomberg.com, Reuters.com
My concerns are two. Can Kenya afford to pay the debt? How much technology-transfer is Involved?
This is not about Kenya but Africa in general. Can Africa afford to borrow so heavily without even demanding transfer of technology?
Angola has an economy twice as big as Kenya and still struggling to pay her debts.
Kenya does not exactly have Singaporean efficiency and financial discipline. She can easily get trapped just like Angola.
Do not be so arrogant. We can all learn from Indonesians. They have awarded a $5 billion tender to the Chinese to build them a railway network this year. However, they have a clause in their contract which demands that they transfer their technology to them. The Chinese will also build a factory to manufacture components of the train in Indonesia. The construction will also involve local firms so that they can learn from their counterparts.
Their government turned down a much superior Japanese technology because the Japanese insisted the Indonesian government borrow money to finance the project and it was more expensive. The Chinese agreed to finance it privately.
Thanks to the Indonesian government's insistence of transfer of technology when she award tenders, today they are able to make small arms, car engines, military vehicles and even aviation spare parts in their country.
That is how they built a one billion dollar economy.
Only a fool will think that transfer of technology is not THAT important.
By the way, I never try to impress you or anyone else here with my knowledge. Please refrain from personal attacks, stick to facts and show some maturity.
source: jakartaglobe.beritasatu.com, Indonesia-investments.com
Magu kidume alilizungumzia na akalikataaAisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima
sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu
ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya
kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu
ni kidume alizungumaie
Lowassa atukomboe sawaSafiiiiii Lowassa... Very intelligent...!!!
Nimefurahi sana, sbb hakuna sababu ya kuwa na bandari Bagamoyo wakati ya Tanga inaachwa bure... Ingetakiwa tuboreshe na kujenga bandari kubwa Tanga.. sio Bagamoyo...!!
Tetesi ni kuwa BANDARI YA BAGAMOYO ITATUMIWA BUREEEEEE NA CHINA KWA MIAKA 50 IJAYO...!!!
Kama China watatumia hiyo BANDARI YA BAGAMOYO miaka 50 bure.... nchi yetu Tanzania itabakia HAKUNA KITU...CHINA WATAKOMBA KILA KITU... TENA NASIKIA NI JESHI LA CHINA...!!! HIVYO NI MKATABA HATARI SANA SANAAA...!!! China wataimaliza nchi hii jamani...!!!
Lowassa tukomboe...!!!
Magu hakukataa bandari ya bagamoyo bali alisema kuna mambo ya kuzungumza ili kurekebisha mapungufuMagu kidume alilizungumzia na akalikataa
Acha banaEdward ngoyai lowassa chaguo LA mungu
Sasa atakuwa chaguo la shetaniKweli lowasa chaguo la MUNGU WA ABRAHAM NA YAKOBO
Muungwana???Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima
sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu
ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya
kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu
ni kidume alizungumaie
Ushajua mizigo inayopita kenya kwenda uganda ni tani ngapi na tanzania kwenda uganda ni tani ngapi?Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo.
Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za Tanga na Mtwara ziko ovyo.
Kama kawaida wananchi wa Tanga wamesema kura zao zote ni kwa UKAWA na adui CCM lazima asome namba mwaka huu.
VIVA UKAWA!
NOTE: Kwa msio fahamu kuna umbali wa kilomita 1200 kutoka Tanga mpaka Kampala (Uganda) ukilinganisha na kilomita 1500 kutoka Mombasa (Kenya) mpaka Kampala.
Lakini Waganda wanatumia bandari ya Mombasa sana kwa sababu Tanga hamna kitu.
Pengine kwasababu aliyeukataa mradi ni Magufuli 😀😀😀.Siasa za Tanzania ni kinafiki sana.....waliokuwa wanaupinga mradi ndio hawa hawa leo wanaufurahia mradi.....
Kwa Magu hiyo pronect ilishakufa cos ata katika ilani ya chama iliachwa kabisa na ndiyo maana ikapendekezwa kuongeza fund ya kutosha kwenye bandari za Mtwara, Dar na Tanga.Magu hakukataa bandari ya bagamoyo bali alisema kuna mambo ya kuzungumza ili kurekebisha mapungufu
Mama anakwenda kufanyia kazi mapungufu husika
Kumbukumbu za awali zaonekana, mradi huu ulitiwa saini ya awali 2013.Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo.
Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za Tanga na Mtwara ziko ovyo.
Kama kawaida wananchi wa Tanga wamesema kura zao zote ni kwa UKAWA na adui CCM lazima asome namba mwaka huu.
VIVA UKAWA!
NOTE: Kwa msio fahamu kuna umbali wa kilomita 1200 kutoka Tanga mpaka Kampala (Uganda) ukilinganisha na kilomita 1500 kutoka Mombasa (Kenya) mpaka Kampala.
Lakini Waganda wanatumia bandari ya Mombasa sana kwa sababu Tanga hamna kitu.